Mama mihogo ni ajee?Siku yngu ilikuwa njema kwa kweli
Kwan mie mpole
Siku yngu ilikuwa njema kwa kweli
Kwan mie mpole
Mamaa mbinuko hujambo...?Kaaaaah....husahau jaman akati mi nimejishusha kwako,
Achana na yule usimskilize kwani ye ndo mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya
Geisha mia 2Uzi ushakua wa ma love love,tusiokua na bebez,ndio tunakua makapuku orijino sasa
101-03-821.M|T|C
Hatuko humu kupigana mikwara ,tuna enjoy tu,ukiniletea mikwara nakuacha na mikwara yako, maana hunijui sikujui mikwara ya nnunaogopa mikwala
Wala siekti
Geisha ya nini bablai..Geisha mia 2
Namimi nina binukagagaMamaa mbinuko hujambo...?
Weeeeeeeeeee!ABJ anaijia mihogo na magimbi mie sio
MmmhKaaaaah....husahau jaman akati mi nimejishusha kwako,
Achana na yule usimskilize kwani ye ndo mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kasema lee anakubinua?
Unaweza kulala ndugu?Km ulinitosa jpili ,u nadhani nina hamu tena ,nimepigwa hadi mikwara ,acha tu niwe msomaji mkuu wa comments za watu
Mahela nayalia Kitimoto mixer ugimbi
101-03-821.M|T|C
HahahaPole sana mkuu
Lakini si ipo in luv na ugimbi
Lee nasema mle ABJGeisha mia 2
nipo nakuona