Makapuku Forum

Kiungo wa kati wa Stoke City Giannelli Imbula, aliyezaliwa Ubelgiji lakini amechezea timu ya taifa ya vijana wasiozidi miaka 21 ya Ufaransa, anatakikana kwa mkopo na Rayo Vallecano, wanaocheza La Liga, Ufaransa. Stoke walivunja rekodi yao ya ununuzi wa wachezaji kumnunua mchezaji huyo mwenye miaka 25 kutoka Porto kwa £18.3m mwezi Februari 2016. (Cadena Ser)

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…