Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Duuu kuna ambao hawata affordJamani huko Arusha sukari kilo 1 ni Tsh. 5,500/=
source, Amplifier ya Cloud Fm
Duuu kuna ambao hawata affordJamani huko Arusha sukari kilo 1 ni Tsh. 5,500/=
source, Amplifier ya Cloud Fm
Amchukulie nani vile?Labda jaribu kumcheki brother Th Name
Happy Birthday Jimena !hahaha...wewe ni mchochezi

Hiyo ngumu kumezandio...jaribu ulete mrejesho
kweli...ila watawala watatumia mabavu tuu kuzima haki ya wanyonge.Siku si nyingi watu wataandamana.
Si ulisema mmeachana mbona akipita kufanya yake
huishi kumtajatajaWanabana eehhhAcheni hizo bhana
![]()
![]()
![]()
![]()
...............
Hata wao wana hati miliki.Nope hiyo sio ya Google wala na kama Google labda niipeleke mie mwenyewe kwasababu nna hati miliki nayo
Hilo nalo ni tatizoWazushi wanatoa za mdomoni tu
...........
Maana hakuna namnaSiku si nyingi watu wataandamana.
Mtanzania wa kawaida hawezi kumudu kununua hata robo kilo kwa bei hyo.Duuu kuna ambao hawata afford
Asante ngoja nitie timu huko
AiseeSi ulisema mmeachana mbona akipita kufanya yakehuishi kumtajataja

KweliMaana hakuna namna