Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ha ahahahhahhahah, jinga Sana wewe aunt, yaani watu wa Dar mnadhani Rukwa hamna mjini/downtown ,lol!

Huko Kuna mtaa unaitwa makanyagio, Kuna bank na bar nyingi tu.

Nimecheka sana yaani hata mechi ya futuhi imenikinai nicheke kwanza.

Eti huko ndo unaishi au kwa ajili ya kilimo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu nimeuliza tu mm
 
Na unavyopenda mchezo huo.. Sikupatii picha utotoni kwenye kibaba na kimama, siku ukichaguliwa uwe mtoto unavylia, unaona umekosa nafasi ya kukulwa..[emoji23] [emoji23]
Halafu basi tu jamani mm huo mchezo wa kwichi kwichi unafikiri napenda wala jf tu huku fake I'd zinatudanganya maka akee naweza kwa miezi nisikwichi kwichi
 
Nilikuwa namaanisha, mwanamke unaanzaje kufa kwa uchupa hapa mjini, wanaume wanalipia hiyo ujue sasa ndio itakuwa kuigawa bure, ukilala na genye ujue wewe una roho mbaya to the extent, unaweza kufa njaa kisa tu ukilaa mgeni atapata!!

Kufa kijerumani.
Mpaka umpate mwanaume umpende sio kila mwanaume basi lazima akukule jamani si unajuaga vile mapenzi ni hisia
 
Back
Top Bottom