Makapuku Forum

Asante binamu naamini baba wawili na makapuku wote wataburudika kwa wimbo huu mzuri
 
Happy birthday to u mzee mwenzangu, mhenga mwenzangu, mshika bunduki mwenzangu, jirani yangu, swahiba wangu, ndugu yangu, kaka yangu...

Allah akupe kila lenye kheri kaka, akutie imani, akuongoze njia ya wale aliowaongoa, afanikishe ndoto na malengo yako, akupe afya madhubuti, baraka zake na rehema zake zisizo na mipaka ziwe juu yako kiongozi..
 
...falsafa hii. Asante.

Ravalomanana alikuwa na jeshi lililomlinda, akawazuia wananchi kufanya haki yao aliingia topeni
Ndio tatizo la kujikuta ww ni mjuvi wa kila jambo unahisi utaleta mambo ambayo yaishawahi kutimia katika mtindo mpya.. Jambo ambalo halipo na halitoweza kuwepo

Kama mwenzio alichafuka kwa tope, usitegemee ww utasafishika kwa tope.
 
😀 😀 😀 😀 haya binamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…