Makapuku Forum

Habari yako mtaasisi! Leo ni TBT hebu tupia kitu cha Yoriyori
 
Binamu Obe nakuona unanikwepa kwepa ila sawa mimi napambana na kazi yetu tumalize usajili wa kampuni yetu japo kwenye masharti naona wanasumbua tupunguze kidogo ila tutafanikiwa kwa hiyo waache wale wanaoweka vitu bondii sisi magar ,sijui hatutakii wanaume waache waweke bondi wanawake wao kwenye kampuni yetu
 


...sijakukwepa anko, hujaona kila mara nakuandikia na kukutakia mema katika mipango ya hawa wasaka kodi. Najua utafanikisha na hakuna kitakachoharibika. Pamoja sana. Mzima lakini
 


...sijakukwepa anko, hujaona kila mara nakuandikia na kukutakia mema katika mipango ya hawa wasaka kodi. Najua utafanikisha na hakuna kitakachoharibika. Pamoja sana. Mzima lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…