Makapuku Forum

Mkuu mbona unamsumbua mama d ...hivi alisema kweli kaniachaa ??

Isije kuwa na uzii wangu nshafunguliwa ...binamu Obe njoo mara moja
Anko nipo hapa tayari? Mtaasisi anachanganya mambo, yeye kashindwa kujua kuwa ngao ya kidonge na ngao ya maji hazina tofauti, ona sasa anaanza kufukua makaburi ya wasiojulikana
 
....sijalala bado, vipi wewe umeshafanikisha sehemu ya kusimika nguzo maana mvua zinazonyesha hizi umetuma maombi sehemu tofauti na nyingine hata aunt hhajui
Heshima kwako binamu ...pole sana na kuachwa na bi fatma lakini uliyataka mwenyeweee....

Mimi hii mvua imekuja ghafla na mipango yetu kama unabojua booking muhim kwako sio kwangu ...hapa naisaka njia ya kwa aunt yako ....
 
Tafasiri Unavyoweza: Matatizo Sio Vikwazo, Ni Miongozo

Hakuna siri kwamba tunapitia mambo mengi sana kibinafsi, kijfamilia, na hata kitaifa. Ndiyo, tunapitia mengi mazuri na mengi mabaya yanayotupa ujasiri, huzuni na mengine yanatufanya tukae chini kujiuliza kama njia tunayoenenda nayo ni sahihi. Njia zote tunazotumia kutaka kwenda tunapotaka si zile zilizonyooka pekee, kuna milima na mabonde bila kuyasahau makorongo na mitelemko. Tafasiri Unanvyoweza.

Wengi wetu ni watumiaji wa barabara, na barabara timamu ina alama za kukuongoza mtumiaji uwe unaitumia kwa miguu au kwa vyombo vya moto. Alama hizi kutaja chache ninazozifahamu ni pundamilia, alama ya kusimama na mwendo sahihi unaohitajika. Ndivyo na maisha yalivyo. Kuna alama za kila namna kwenye maisha na hasa ikiwa wewe ndo ushafikia umri wa kujiendesha mwenyewe. Kujiendesha mwenyewe maana yake kuna wakati utahitaji kuendeshana, tafasiri unavyoweza.

Usikwaze na alama za kukusimamisha (stop signs) hizi zipo, ziheshimu. Matatizo yawe ya mahusiano, kikazi, kifamilia, kiuchumi na kiimani kutaja machache ni alama ambayo haipaswi kukusimamisha katika kile unachoamini ni sahihi kwako na afya ya amani yako. Tumia matatizo kama muongozo (guideline) ya kukufanya ukomae na kulifikia lengo unalohitaji kibinafsi, kifamilia na kitaifa. Matatizo hayataisha na ndiyo maana umepewa kichwa chenye ubongo, yatatue uende mbele unapohitaji. Tafasiri Unavyoweza
 
Shukrani kiongozi ....
 
Heshima kwako binamu ...pole sana na kuachwa na bi fatma lakini uliyataka mwenyeweee....

Mimi hii mvua imekuja ghafla na mipango yetu kama unabojua booking muhim kwako sio kwangu ...hapa naisaka njia ya kwa aunt yako ....


....bi Fatma bhana alinikera bora alivyoniacha angenisumbua sana, asante kwa kutumia mbinu zako hadi akaniacha, imekuwa ahueni kwangu.

Ha hahaha, mambo ya booking, hivi kumbe na kwa aunt unafanya booking!! unamaanisha kama si zamu yako kuna mwingine? Mbona mimi nakuwa wa mwisho kufahamu jamani, hebu nihurumieni kesho Ijumaa
 
...ha hahahaha, huu wimbo si umefungiwa mjomba, mbona unataka moderators wanifungie kuandika kipengele cha muziki ha ahhahahahaa
Tangu lini ukanibishia mimi ...waliofunguwa ni waimbaji sio wimbo

Sasa unaweka au hauweki ??
 
...ha hahahaha, nakujua wewe uko karibu sana na naibu waziri anayeita wasanii na kufungia nyimbo zao. Nitaweka mjomba wala usihofu dakika ishirini nyingi wakati tunawasubiri Arsenal wafanywe yao
Ila kwa kwelii Arsenal wana roho ngumu si wawape city tu point 3 na magol mawili

Anyway ntashukuru sana .....alafu naamini modee wakiletaa fyoko utakua unapandisha lisegmentii mwanawaneee kwa kiiingilishiiii make najua kidemu chako cha sua kinakuweka vzur
 
Unashangalia wapi eti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…