Mama sema neno moja tu na roho zetu zitapona
Hivi D atakuwa ana umri gani ikiwa wazazi wake wako separated? Nani yupo nae
Mtafute buller mzee wa churaMazawadi yatapokelewa kama kawaida hakuna kususa ila mukongo jaman nimemmiss mie
Sawa na msafiri asafiriye na asijue aendako basi sawa, sio lazima tutafsiri au sio mtaasisi?
Naomba kujua ndio umeshakuwa baba yetu?Muziki wa Mdhamini: Najidhamini kwa Ajili Yako
Unganeni tu na mimi, leo hadi mjue kuwa mimi leo nimedhamiria kikamilifu kumpongeza mama yenu ambaye huwa mnasomaga tule tumaandishi twangu tudogo kwenda kwake.
Huu muziki/wimbo anaupenda nami sitachoka kuucheza hapa tufurahi pamoja..
Safi sana mtaasisiMuziki: Happy Birthday To You
Ujue nimeandika title kiinglishi na asikufiche mtu hakuna kazi ngumu kama kuanza kutengeneza sentensi kwa kiinglishi. Ni ngumu si kidogo maana kwa sisi tuliosoma shule ambazo kengele ilikuwa ni ringi la tairi la roli tunajuana kabisa kuwa kiingereza chetu kuna mahali hakiko sawa. Na ndiyo maana huwa tunasalimiana kiinglishi na baada ya salamu tu hatuendelei na kizungu, tunarudi mstarini kuhesabu namba labda uwe umechelewa ndo utapewa lile likibao la Swahili speaker. Nakusalimia kapuku mheshimika.
Nilikuwa na wakati mzuri leo na nilichofanya yote niliyotaka kutafanya bila shida asante kwako wewe ambaye hujauliza siku yangu ilikuwaje. Nilikuwa na anko wangu huyu mnayemfahamu tukipanga mipango yangu halali na yake haramu maana unawezaje kupanga kwenda kula kitimoto bila bia. Halali huenda na halali na kamwe haramu haiendi na halali, fanya unachoona ni sahihi kwako, mambo ya halali au haramu subiri siku ya hukumu, wewe ni nani hata useme halali na haramu kwa kila mtu. Toto baya zuri kwa mama yake.
Muziki sasa, jana ilikuwa ni tarehe ya kuzaliwa BlessedHope , niliimiss ila sio kwa makusudi maana mjomba aliniambia tusimsumbue kwa sababu BH yuko kwenye siku yake, nikatulia na ninaamini hata wengi tumeona leo. Tunakupenda BH na Heko ya Kumbukumbu ya Kuzaliwa
Naomba kujua ndio umeshakuwa baba yetu?
Safi sana mtaasisi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]....neno gani tena jingine, huoni maneno yameandikwa kwa herufi kubwa kuonesha msisitizo. Mtaasisi kusoma hujui hata picha nayo unageuza miguu juu kichwa chini
Kiroho safiHa hahahahah
...kutotafasiri nako ni kutafasiri. Si wanasemaga kukaa kimya nalo ni jibu mhakamani uswahili wakaongeza lao eti kukaa kimya ni jibu la mjinga ha hahahahaha, waswahili bhana hawakosi kutofautisha shanga na shangaa, bangi na bangili
Allowed
Allowed
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Naomba kujua ndio umeshakuwa baba yetu?
Si bado hajafikisha miaka 6...Hivi D atakuwa ana umri gani ikiwa wazazi wake wako separated? Nani yupo nae
ABEE
Aww my baby girl nakupenda sanasana Mungu akubarikiHappy born day Mom.. Mungu akutunze jamani Mama!! Sakayo loves u much
Mwee mwanangu wewe[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji258][emoji258][emoji258][emoji258][emoji258][emoji258][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253] nimemkumbuka mukongo mm jaman angekuwepo kutoa mauwa binamu Mungu anakuona kwa kunipotezea mukongo wa mama
Hahahaha jamani mmhAsante kwa kumjaza mama naona umempatia hapo na mkongo anamsahau mazima