Makapuku Forum

Sawa na msafiri asafiriye na asijue aendako basi sawa, sio lazima tutafsiri au sio mtaasisi?

Ha hahahahah
...kutotafasiri nako ni kutafasiri. Si wanasemaga kukaa kimya nalo ni jibu mhakamani uswahili wakaongeza lao eti kukaa kimya ni jibu la mjinga ha hahahahaha, waswahili bhana hawakosi kutofautisha shanga na shangaa, bangi na bangili
 
Naomba kujua ndio umeshakuwa baba yetu?
 
Safi sana mtaasisi
 
....neno gani tena jingine, huoni maneno yameandikwa kwa herufi kubwa kuonesha msisitizo. Mtaasisi kusoma hujui hata picha nayo unageuza miguu juu kichwa chini
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ha hahahahah
...kutotafasiri nako ni kutafasiri. Si wanasemaga kukaa kimya nalo ni jibu mhakamani uswahili wakaongeza lao eti kukaa kimya ni jibu la mjinga ha hahahahaha, waswahili bhana hawakosi kutofautisha shanga na shangaa, bangi na bangili
Kiroho safi
 
[emoji524]TUOMBE
Mungu wetu na Baba yetu Asante kwa Neema yako kutupa siku hii ya leo TAREHE 28 FEBRUARI 2018 Ni Furaha yetu kuona Unazidi kuachilia Neema yako ya Uzima. Tumenyenyekea mbele zako Mungu kuonesha utii wetu kwako. Tunaomba Baraka zako,futa majonzi,masikitiko kwa kila Moyo ulio-kata tamaa na kuachilia Furaha na Pendo litokalo kwako. Kutana na haja za mioyo yetu na kuzidi kutufundisha Kweli yako, Bariki kutoka na kuingia kwetu. Mikono yetu ikakuzalie matunda yadumuyo. Fungua Uchumi wetu,asiye na kazi apate kazi. Mungu wakumbuke wagonjwa na wengine wote wanaotafuta kukuona, wakutane na uso wako. Mioyo yetu ikutukuze wewe sasa na hata milele AMINA.

SIKU NJEMA,JUMATANO YA BARAKA
 
Mwee mwanangu wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…