Makapuku Forum

Anko bwana


Ujue mda mwingine ukiitwa kwenye sherehe za watu acha tabia yako ya kuja na wale wasiojulikana...

Mfano mm nimefika home namuuliza mpendwa wangu Nimemuuliza *WIFE,* fedha za matumizi zimebaki kiasi gani kuanzia asubuhi mpaka muda huu? amesema hakumbuki anashulika na mambo mengi ya familia hivyo mpaka amuulize "DADA wa KAZI"
Nimeamua nitampangia kazi nyingine! Hawezi kunijibu mm hivi.
 

Ha hahahahah!!
Wale wasiojulikana sijui hata walitokea wapi maana wakati nakuja niliangalia mingo zote nikajua nikifika nitakukuta na toleo jipya kumbe hola, au aunty amekuwekea maspy?

Kwa hiyo majukumu ya 'wife' umempatia hozgeli? Anko mimi siwezi kukubishia
 
Ujue haya mambo yanahitaji utaalam wa kiwango cha mchepukiaji special kuzid wewe ...uzur wewe uliingia wadhunguu wanasema too late ...bwana mm niliwambia saa 10 jion kumbe yenyewe saa 7 mchana nikamalizana naye yule kiroho swafiii chapa ilaleee cha fasta ...ila na wewe unashtuka kinomaa kama mimosa pudica


Ofkozii kazi na majukumu housegirl japo kashapanda cheo yanamfitiii haswa tena kuna reserve wa nyumba ya jiranii ...wa kwako
 


...ha ahahahahah, kushtuka lazima tena ukiacha kustuka kama mimosa pudica kwa mpenzi wangu HM moyo wangu unafunguka kama ua rose kwa BH
 
...ha ahahahahah, kushtuka lazima tena ukiacha kustuka kama mimosa pudica kwa mpenzi wangu HM moyo wangu unafunguka kama ua rose
Kwa kweli hakuna tofauti kati ya ngao ya maji na kidonge

 


...ha ahahahahah, kushtuka lazima tena ukiacha kustuka kama mimosa pudica kwa mpenzi wangu HM moyo wangu unafunguka kama ua rose
Kwa kweli hakuna tofauti kati ya ngao ya maji na kidonge


Ha hahahahahaha, wewe naye, lol ! Umejuaje kuwa hakuna tofauti kati ya ngao ya maji na ngao ya kidonge
 
Asante Obe..kikongwe oyeeeee
 
Kha ...
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…