Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Kushukuru shemelaNzuri sana nipo nimerudi, naye atakuja muda si mrefu

Kushukuru shemelaNzuri sana nipo nimerudi, naye atakuja muda si mrefu

Utani gani huo kila siku na tumeshawaelewesha huo sio utani sasa jamaan baba d anajing'ata tu kila mara sababu ya hizi mambo mjueNisipomtania shemela wangu hapa KF, nimtanie nani sasa
Nilimpa mimi ndio yaan mpaka najuta sasa jamaanUlimpa weee kumbe
UkomeNilimpa mimi ndio yaan mpaka najuta sasa jamaan

Naaam, nimekuja kukusikilizaTetraaaaaaaaa
Nimekoma mama asante sana mbarikiwe sanaUkome![]()
Nakusalimia tu mimiNaaam, nimekuja kukusikiliza
Wooooooooooozaaaaaaaaa
mdomo komaNashukuru sana pia kuwaona waheshimiwa wewe na ShululuKushukuru shemela![]()
![]()
![]()
Hahaha kucha za miguuni zipo kweli?Utani gani huo kila siku na tumeshawaelewesha huo sio utani sasa jamaan baba d anajing'ata tu kila mara sababu ya hizi mambo mjue
Bwashee anatumbo tumbo na shirt lake na suruali yake ya kitambaa![]()
ndio bwashee wake tumo




Kwa hiyo ukitaka kumnyanganya si unaweza ?Nilimpa mimi ndio yaan mpaka najuta sasa jamaan
Ahahahhahahmdomo koma
Huyo huyoBwashee anatumbo tumbo na shirt lake na suruali yake ya kitambaa![]()
Kumbe hukuniita.??! Mppo wazima wewe na mchoma mkaa wako??Nakusalimia tu mimi
Siwezi huko naanzaje tena mwanamke ana mdomo ila sishangai nyakyusa girlKwa hiyo ukitaka kumnyanganya si unaweza ?
Wewe ndio empire?Huyo huyo
Nilikuita nikusalimie tu tetra mchoma mkaa wangu mzima sana wewe na moneytalk mnaendeleajeKumbe hukuniita.??! Mppo wazima wewe na mchoma mkaa wako??