Makapuku Forum

Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.

Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe.

Msinyimane isipokuwa mmepatana kwa muda, ili mpate faragha kwa kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokuwa na kiasi kwenu


WAKORINTHO 7:3-5

MUWE NA MCHANA ULIO MWEMA KWENU
 
Neno mujarabu kabisa

Ahsante sana mama D
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…