Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,282
- 35,652
![]()
![]()
toka peremende na warembo hadi ngedere
...ukisikia mtu amegraduate ndo huku sasa, warembo ngedere. Mjomba wangu muacheni tu bila pepo angekuwa pope
![]()
![]()
toka peremende na warembo hadi ngedere
Maji ni UHAI mpendwa
...ukisikia mtu amegraduate ndo huku sasa, warembo ngedere. Mjomba wangu muacheni tu bila pepo angekuwa pope
Heshima yko binamuKumbe umeitoa wapi![]()
![]()
walaaa
Wale sio vipofu ila wanatembea huku wanachati mikononi wameshika simu waleeNambie nn kile![]()
![]()
GoodHaya
TiariNijibu ww
Wale sio vipofu ila wanatembea huku wanachati mikononi wameshika simu walee
na zile fimbo ni selfie stick...ukisikia mtu amegraduate ndo huku sasa, warembo ngedere. Mjomba wangu muacheni tu bila pepo angekuwa pope
MTU na mjomba ake
Maisha ya ndoa wengi tunaamini kupata mtoto ni baraka kama mimi na wewe kapuku mwenzangu najua tunatamani au wengine tuna watoto /mtoto ...kama mimi nina jembe langu la faida D h...anyway
Chembenyuzi aka chromosome zinazohusika hapa ni X na Y hapa twende sawa ...kawaida mwanamke huwa na XX chromosomes na mwanaume ni XY kwa maana nyingine mwanaume ndo mtu sahili wa kuwezesha either baby boy au baby girl hapatikane au laa...kwa hiyo wewe mwanaume acha kumsumbua mwanamke kama uzao wote ni baby girl tuu...
zipo njia mbadala zinazoweza kusaidia kufanikiwa kulingana na mada yetu ya leo ila kitu cha kuweka kichwani...chembeuzi kwenye mbegu za kiume *wale wazungu*ya Y ndio inayohitajika kufanikisha jambo hili na uwezekano wa mwanaume either atoe hiii Y au X ...akitoa X karembo baby girl tunakapata ila sio lengo letu leo ..inabidi atoe Y ...hii Y ina sifa zake mfano
hapa mbegu zako wewe/mm mwanaume zinatakiwa ziwe kamili gadoo ...na jitahidi kufanya yafuatayo muhimu mnashirikiana na mwenza wako ...
hii ni kutokana na sifa za Y kuwa na speed ila wanaishi mda mfupii..
najua, maji ni uhai, ndo maana siogagi bia, naoga maji
nakunywa pia ukunyweeNimeikuta sehemu imeegeshwaKumbe umeitoa wapi
Usiku mwema ndugu zanguni
Mpendwa usisahau kuniwekea FARAJA ya JD inibembeleze
Heshima kwako binamu...ha hahaha mjomba nakumbuka sana vumbi lilivyokuwa likitimka. Siku hizi ukilianzisha wahamiaji haramu hawatulii, kila siku maandamano kudai malipo eti umewalomba na vumbi kuwatimulia

Ndo umenunuliwa na mpendwa
Wewe mbona unawekaga kila siku kwenye chupa ya majii tuliyonunua gulioni na ilivo nyeus walalamike wengine sio weweHabari za muda wadau wa nguvu, leo ilikuwa ni siku ya ajabu maana nimeamka asubuhi na nguvu za ajabu (kiporo hakimuachagi mtu salama) nikaingia kukimbizana na mkate mara mkuu anatuita wakufunzi kikaoni eti afisa elimu kaja kutuangalia utendaji kazi wetu. watu wakakaa kitako mimi nikakaa kikaoni.
kinachoongelewa muda wote hata sikielewi, ndo maana nikaamua kutembeza like tu kwenu makapuku maana kazi yenu imenifanya niwe na wakati mzuri kikaoni.
Hivi kwanini hivi vikao vya utendaji wanatugawia maji na sio bia?
...ukisikia mtu amegraduate ndo huku sasa, warembo ngedere. Mjomba wangu muacheni tu bila pepo angekuwa pope
