Nitazipitia mkuu..!Mdau vipi uliziona zile zingine za Steve Jobs ?
Maana aliposrpa Sakayo na wewe ukasepa
......
Good..!Mapemaaaa sanaaaa nampashaaa ..ananipashaaa tunapashanaa
Kupasha nini kwaniGood..!
Hahaha! Dooh! Mtajuana wenyewe !Ahahhhh ananilaumu kwa kumkosesha ubuyu kwa nini uzi umefutwa
Mimi sijui wanapashaga nini na dada yako..Kupasha nini kwani
Hahaha! Dooh! Mtajuana wenyewe !
Afu huwa mkiona bani zinatembezwa mnakuja kuudiscus huku..hapi ndio nachekaga sasa
Mdau Jumamosi na Jumapili huwa napumzisha akiliJooh kumi kubwa leo hakuna..
Kama husna yuko offline jua wanabinyana tuu mida hziBhinamu umelala , umelaliwaa
Ni mazoezi au mana naona tu kupasha kupashanaMimi sijui wanapashaga nini na dada yako..
Ndo utajuaa sasa ....jiandae kumpeleka south beach au mikadiii
Unajitahidi sana mkuu..!Mdau Jumamosi na Jumapili huwa napumzisha akili
Kumi kubwa ni shughuli maana inahitaji muda tulivu na pia huwa naandika LIVE hivyo siwezi kuandika kila siku....labda km ningekuwa naziandikaga tu halafu nazisevu kisha niwe naziachia tu
.........
Watajua wenyewe! I don't careNi mazoezi au mana naona tu kupasha kupashana
UnipitieWatajua wenyewe! I don't care
Nikupitie kesho?
Kule kule kwa leo..?Unipitiekufanya nini
Kwa leo mimi ni wapi tulikuwaKule kule kwa leo..?
Sawa mdauNitazipitia mkuu..!
Nilishaandika Nukuu kuhusu Steve Jobs so i have his A B C ....though sio vitu vyote.
Kwa leo mimi ni wapi tulikuwa
Uko vizuri mkuu! Mimi nasoma sana novel nikiwa na muda wa mapumziko..Sawa mdau
Kuna mambo ya kujifunza kuhusu maisha yake
Natamani muda ukiniruhusu week end niwe naandika simulizi kuhusu maisha ya watu maarufu
Yaani kuandika ni hobby yangu
......
Mdau Jumamosi na Jumapili huwa napumzisha akili
Kumi kubwa ni shughuli maana inahitaji muda tulivu na pia huwa naandika LIVE hivyo siwezi kuandika kila siku....labda km ningekuwa naziandikaga tu halafu nazisevu kisha niwe naziachia tu
.........