Siku yake ya kufa ilikuwa badoAna bahati ya mtende huyu dah! 25 years? Pengine hilo bomu electrical system yake ilikuwa imeshaharibika.
Mkuu habr yakoPamoja sana wadau
.......
Za uzima kaka yangu ubarikiweMi niko poa mkuu
Wewe je?
Njema dada habari za siku nyingi habari ya ujenzi wa taigaZa uzima kaka yangu ubarikie
Twende kaziROP TEN
Siku hizi nashusha vitu mapema tu maana wengine sijui segment zao zimekufa au ndo zugazuga tu....anyway siyo ishu labda majukumu yamebana
Huko Kibiti kuna "vita" kati ya serikali/Polisi dhidi ya wahalifu/magaidi ambayo imeteka hisia za watu na kudumu miezi sasa watu wakiuawa na kutekwa,
Inaonekana Polisi wameshindwa vita na sasa wamepelekwa wababe JWTZ ambao naamini kabisa watashinda vita kutokana na kuwa na nidhamu na weledi uliotukuka
.
.
Sasa lep tuangalie vita kumi zilizodumu kwa muda mrefu.....Naongelea vita haswa yaani ni mwendo wa makombora,risasi na mabomu tu
Hawa ndo wanaume ambao wapo tayari kulifia Taifa lao ili tu kulinda maslahi pamoja na usalama wa nchi
Karibuni
............
Pole,tunashukuru kama uko mzimaNipo dada mihangaiko imenizidi kidogo
Mm mzima kaka angu tulikumic piaMzima lakini dada nilikuwa nimewamic sana
Njema mummy ubarikiweHbr ya leo wapendwa
We ukipewa mbona hakuna anaeshangaa
Congo kuna wanajeshi wa kila nchi lakini kila uchwao ni machafukoROP TEN
Siku hizi nashusha vitu mapema tu maana wengine sijui segment zao zimekufa au ndo zugazuga tu....anyway siyo ishu labda majukumu yamebana
Huko Kibiti kuna "vita" kati ya serikali/Polisi dhidi ya wahalifu/magaidi ambayo imeteka hisia za watu na kudumu miezi sasa watu wakiuawa na kutekwa,
Inaonekana Polisi wameshindwa vita na sasa wamepelekwa wababe JWTZ ambao naamini kabisa watashinda vita kutokana na kuwa na nidhamu na weledi uliotukuka
.
.
Sasa lep tuangalie vita kumi zilizodumu kwa muda mrefu.....Naongelea vita haswa yaani ni mwendo wa makombora,risasi na mabomu tu
Hawa ndo wanaume ambao wapo tayari kulifia Taifa lao ili tu kulinda maslahi pamoja na usalama wa nchi
Karibuni
............
Mungu mkubwa na tumshukuru kutukutaninisha hapa jukwaaniPole,tunashukuru kama uko mzima
Asante dada nimerudi nitakuwepo hapa jukwaani kama kawaidaMm mzima kaka angu tulikumic pia
Mengi bhanaaa ...mi mama D ananipaga 2 -3We ukipewa mbona hakuna anaeshangaa
AsanteROP TEN
Siku hizi nashusha vitu mapema tu maana wengine sijui segment zao zimekufa au ndo zugazuga tu....anyway siyo ishu labda majukumu yamebana
Huko Kibiti kuna "vita" kati ya serikali/Polisi dhidi ya wahalifu/magaidi ambayo imeteka hisia za watu na kudumu miezi sasa watu wakiuawa na kutekwa,
Inaonekana Polisi wameshindwa vita na sasa wamepelekwa wababe JWTZ ambao naamini kabisa watashinda vita kutokana na kuwa na nidhamu na weledi uliotukuka
.
.
Sasa lep tuangalie vita kumi zilizodumu kwa muda mrefu.....Naongelea vita haswa yaani ni mwendo wa makombora,risasi na mabomu tu
Hawa ndo wanaume ambao wapo tayari kulifia Taifa lao ili tu kulinda maslahi pamoja na usalama wa nchi
Karibuni
............
Mungu mkubwa na tumshukuru kutukutaninisha hapa jukwaani
mkuu habar yakoNjema dada habari za siku nyingi habari ya ujenzi wa taiga
Ngoja Obe atujibu mkuukumbe ndio huyu..!