Bhinamu ndo maana dada alitangulia kuzaliwa ...unajuaa bhinam leo mamaa demi kakufanya uwe mpole hupepesiii macho na wahudumu wa leo siwaelewiiii ...ila yote sawa tutafikaa ndo tujue nan anamsindikizaa ...mm nshaaga nalala kwakoo
Haumo vipi na were ndio chanzo. Kajuaje kama unacho kimini?
Halafu kwenye gari utakaaje? Kimini kikipanda juu zaidi itakuwaje?Demiii demi wewe!
Beer hazikopeshi.