Makanisa ya Wasabato kujengwa muda mrefu chanzo ni nini

Leo Wasabato tumepigwa kwenye Mshono.Tuchukue kama changamoto mjadala huu.Hii ni kitu inayo tuumiza hata Wasabato wengi tuliopo Kanisani.Lakini ni sehemu ya changamoto itapatiwa utatuzi.

Sent from my SM-A107M using JamiiForums mobile app
 
Tunaenda kujipanga, tutarudi.....

1704626377155.png
 
Sio wanyonyaji kama wale wajukuu wa papa hadi kununua kijiko kina changiwa harambee kuanzia kwenye jumuia hadi Church
 
Ha ha ha wakuu tunawashukuru kwa michango pamoja na kejeli za wakuu wengine ila tumezipokea

Bwana ni mwema lkn mpk tulipo leo tunamshukuru sana maana kwa kweli kwa miaka ya hivi karibuni japo kwa kuchelewa lkn tunajenga majengo mazuri baada ya miaka mitano tutakuwa mbali na hizi kejeli zitaisha

Hatuwezi kucompete na wenzetu ambao wao waumini wao wanafanya biashara za vileo, nguruwe, kumbi za starehe nk ambazo sisi kanisa kupitia Neno linasema hizo hapana na wao wafanyao zinawapa mpunga mrefu na wakipeleka sadaka zinakubaliwa unao waumini saba wenye hizo biashara kwa mwezi unakusanya karibu 15m+ unaachaje kujenga chap

Kwa hiyo factors ni nyingi na sisi tunazikubali japo kwa kuchelewa ila tunajenga kwa siku za hivi karibuni majengo mazuri
 
Ha ha ha wakuu tunawashukuru kwa michango pamoja na kejeli za wakuu wengine ila tumezipokea

Bwana ni mwema lkn mpk tulipo leo tunamshukuru sana maana kwa kweli kwa miaka ya hivi karibuni japo kwa kuchelewa lkn tunajenga majengo mazuri baada ya miaka mitano tutakuwa mbali na hizi kejeli zitaisha

Hatuwezi kucompete na wenzetu ambao wao waumini wao wanafanya biashara za vileo, nguruwe, kumbi za starehe nk ambazo sisi kanisa kupitia Neno linasema hizo hapana na wao wafanyao zinawapa mpunga mrefu na wakipeleka sadaka zinakubaliwa unao waumini saba wenye hizo biashara kwa mwezi unakusanya karibu 15m+ unaachaje kujenga chap

Kwa hiyo factors ni nyingi na sisi tunazikubali japo kwa kuchelewa ila tunajenga kwa siku za hivi karibuni majengo mazuri
Bora umesemea ukweli zaidi mkuu
 
Nimecheka sana , wasabato mfumo wao ni mbovu tofaut na makanisa mengine , pesa karbia yote inapelekwa huko wanaita conference, makanisa yanabaki kuchangishana tena , makanisa mengine Kia's kikubwa cha sadaka Kinabaki kanisani , hvyo miradi ya ujenzi inaenda
Nadhani hii ulioisema inaweza kuwa ni sababu kubwa ndio zingine zinafuata..
 
Hapo kwenye elimu ndogo na uchumi Mdogo kwa hawa jamaa siku baliani na wewe hata kidogo sababu kuu inayofanya miradi ya wasabato kwenda kwa slow pace in local churches ni kwamba matoleo asilimia kubwa yanaondoka kwenda ngazi za juu huku asilimia kiduchu kubaki makanisa mahalia kama ulivyo jaribu kuelezea .Mfano katika tzs 1000000 shilling 790000 inaenda majuu huku 210000 ndio ina baki kanisa husika kwa ajili ya operations. mbalimbali za kanisa Kama usafi,maji kulipa umeme na kufanya jezi mbalimbali sasa hapo unatarajia nini? Japo kuna mazingira kama haya lakini bado wanajitahidi sana hasa ukisngalia mambo wanayoyafanya katika jezi.
Huu uliosema ndio ukweli unaokwamisha majengo na maendeleo ya kanisa la wasabato, fedha nyingi za michango zinaenda huko ambako wao wanaita conference, wanabaki kukamatana na michango ya kudunduliza ili kujenga local churches
 
Kwa nini makanisa mengi ya Wasabato majengo yake huwa hayajamaliziwa/ yanajengwa muda mrefu sana au yanakuwa katika hali ya mahema ?

Kwenu Wasabato hakuna michango ya kutosha kukamilisha makanisa haraka haraka?
Huwa wanasubiri kibali cha ujenzi kitoke kwanza kutoka kwa mwakilishi wa nabii wao Ellen G White, aliyeko Marekani.
 
Back
Top Bottom