Makanisa ya kiroho mnatupeleka wapi?

Unahitaji kwenda kujisomea tena hizi sadaka zilikuwa zinatolewaje wakati huo kisha utranslate kwa nyakati hizi.
 
Unahitaji kwenda kujisomea tena hizi sadaka zilikuwa zinatolewaje wakati huo kisha utranslate kwa nyakati hizi.
Hoja hapa ni utoaji sadaka uliopitiliza kwenye baadhi ya nyumba za ibada. Zingine si sadaka ni changizo tu au mchango. Makanisa mengine hayana rasirimali za kutosha wala hawana wamisionari toka ng'ambo. Wao wenyewe ndiyo wanachangishana kufanikisha mahitaji yao.
 

HAUJUI ULISEMALO,Siyo kila kitu anachosema mzungu ni sahihi!Wao hata ndoa za mashoga wanafungisha,sasa unawasikiliza hao?utakua unashida ukiwasikiliza.

Nikueleweshe kidogo tuu kua,biblia inaelezea kua siku za mwisho moto wa injili utatokea Afrika.Hivyo waambie hao wazungu wasiojua kitu watulie kimya,wao wameshachanganyikiwa waache Waafrica tuwashe moto wa Injili.

Sefania 3:10Maana toka nchi iliyo mbali na mito ya Kushi,waniombao dua,yaani binti za watu wangu waliotawanyika,wataleta matoleo yangu.

INJILI ni habari njema,hivyo kubarikiwa ni injili,miujiza na injili,kupata kazi nzuri ni injili,kutajirika ni injili na zaidi sana kutajirika ni injili na zaidi sana sadaka ni Injili.Sasa wewe kama mtu hautaki watu waambiwe haya mambo yote mazuri basi wewe hautaki Injili,na kama wewe hautaki injili utakua una mapepo.

SADAKA SIYO KWA FAIDA YA MCHUNGAJI AU MTUMISHI WA MUNGU HATA KIDOGO ,SADAKA NI KWA FAIDA YA MTOAJI.

Mtumishi wa Mungu anatunzwa na Mungu hata usipotoa sadaka yako.
 

Wewe ni mwehu unayetumia maandiko kuhalalisha wehu wako,na umaskini wako,sitapoteza muda nawewe wala kusoma gazeti lako,nakupuuza tuu.after all hauna mpango wa kutoka kwenye huo umaskini hivyo wewe ni wakupuuzwa tuu.
 
Hayo makanisa yenu endeleeni nayo...... sie tupo huku kama kawa........
 
KWANI TUNATIBIWA BURE? KWANI SHULE ZAO TUNASOMA BURE? KWA TAARIFA YAKO VITEGA UCHUMI VYAO TUNAJENGA SISI THEN TUNALIPISHWA SISI TENA KWA BEI KUBWA ZAIDI BILA KUJALI MICHANGO YETU. TUMIA KICHWA CHAKO VZURI KUFIKIRI
Kwanini msijenge vyenu mkatibiwa bure bila kulipia...... [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Haya msaidie mwenzako

Maji mengi ni kiasi gani....???

Ubatizo ni nini..??
Sasa kumbe hata dhana nzima ya ubatizo huifahamu ? Ujibiwaje Wakati Unaona Ni Upuuzi Tu ?. Ni Ngumu Kumfundisha Mwanafunzi Ambaye Hana Utayari Wa Kujifunza. Wanafunzi Wasiokuwa Na Utayari Wa Kufundishwa Hudharau Somo Linalowasilishwa. Mwalimu Anaishia Kupoteza Muda Kwa Somo Ambalo Halipokeliwi Vizuri Na Wanafunzi, Huko Ni Sawa Na Kumpigia Mbuzi Gitaa Acheze Au Kutwanga Maji Kwenye Kinu Ili Unga Utokee. Mambo Ya Kiroho Hujulikana Kwa Jinsi Ya Rohoni Tu.
 
Nipe maana halisi ya ubatizo
Hivi Kama Huamini Dhana Ya Ubatizo Utawezaje Kuelewa Ubatizo Na Mukhtadha Mzima?. Uko Shambani Na Unakiwa Uvune Mazao, Sasa Kama Huna Vitendea Kazi Utavunaje ? Kuhusu Ubatizo Kama Una Nia safi ya kujifunza bila hila soma sana Biblia Takatifu na maandiko mengine yahusuyo ubatizo. Kuna Dhana Pana Sana Ya Ubatizo. Aaminiye Na Kubatizwa anafahamu mengi kuhusu ubatizo.
 
Hakuna kanisa la mtu binafsi duniani. Kanisa ni kusanyiko la waumini katika jumuiya ya kumsifu na kumuabudu Mungu
haaaaa haaaaa 😡😡, kawadanganye wasiojua, Kakobe alishindaje kesi yake kama hakuna kanisa binafsi duniani !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…