Makamu wa Rais ni Mchengerwa

Makamu wa Rais ni Mchengerwa

Mohamed Mchengerwa ni Waziri mwenye kifua kipana.

Ni Waziri mchapajazi kuliko mawaziri wote.

Hakika Nafasi ya Makamu wa Rais inamtosha sana.
 

Attachments

  • IMG-20260824-WA0073.jpg
    IMG-20260824-WA0073.jpg
    38.2 KB · Views: 1
Kobazi kwa kobazi kuwa top two haiwezekani hiyo, makamu atakuwa galatia tu kwa kuwa rais ni kobazi
 
Back
Top Bottom