Halafu mkeo atakuwa msaidizi wake!Mohamed Mchengerwa ni Waziri mwenye kifua kipana.
Ni Waziri mchapajazi kuliko mawaziri wote.
Hakika Nafasi ya Makamu wa Rais inamtosha sana.
Hivi kumbe ni ajira? 😂😂😂😭😭Makonda anatosha, apewe ajira hiyo
Hahahahah hilo ni pendekezo laMohamed Mchengerwa ni Waziri mwenye kifua kipana.
Ni Waziri mchapajazi kuliko mawaziri wote.
Hakika Nafasi ya Makamu wa Rais inamtosha sana.
Makonda yupi? Huyu tapeli? Bora wampr WannuMakonda anatosha, apewe ajira hiyo
Naona umetuchokaMakonda anatosha, apewe ajira hiyo
Kwa maana ya familia uongozini na weza kufikiri kama unaweza kuwa vilee🤔Ila pia sita shaangaa akiwa mwana kanisa!Mohamed Mchengerwa ni Waziri mwenye kifua kipana.
Ni Waziri mchapajazi kuliko mawaziri wote.
Hakika Nafasi ya Makamu wa Rais inamtosha sana.
Kwani Makamu wa Raisi anatakiwa kufanya nini na Raisi hadi awe na kifua kipana?Mohamed Mchengerwa ni Waziri mwenye kifua kipana.
Duuh ila hii nchi ndio maana watawala wanatuona kama NgombeMakonda yupi? Huyu tapeli? Bora wampr Wannu
Mkwe au sio, awe hata Abdul au Ridhiwan, nchi c yao kmTusi
Wafuasi wa Chadema wanapenda sana matusi na kutukanaMkwe au sio, awe hata Abdul au Ridhiwan, nchi c yao kmmk zao