Makamu wa Rais, Mama Samia: Wapinzani wana hoja nzuri, zisizojibiwa na Mawaziri

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,301
24,185
February 17, 2020



FULL HISTORIA YA MAMA SAMIA

Mama Samia anakubali hoja nzito za wapinzani, nilikataa pendekezo la kuwa Makamu wa Rais

Makamu wa Rais wa serikali ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Hassan Suluhu asema kilichomsukuma kuingia katika siasa ni maoni na hoja za mashiko za wapinzani Bungeni / Baraza la Wawakilishi ambazo hazijibiwi vyema kwa hoja na mawaziri wa serikali.

Hilo la kukerwa na majibu ya serikali yasiyokidhi hoja za wapinzani, Mama Samia akajiona ni kama Activist / Mwanaharakati ingawa ni CCM anayehusudu maswali magumu yajibiwe kwa hoja thabiti.

Mama Samia anaongeza kabla ya kuingia siasa alikuwa anaona nondo za wapinzani huku upande wa serikali ambayo ni ya CCM bara na Visiwani pia, mawaziri huja na majibu hafifu yasiyo ridhisha kwake na wanaofuatilia shughuli za Bunge.

Pamoja na kukunwa na hoja zilizoenda shule za wapinzani, Mama Samia aliwaeleza wasikilizaji ametokea ktk familia ya kawaida ambapo baba yake alikuwa mwalimu wa shule na mama yake mama wa nyumbani aliyetumia nafasi kuwafundisha na kuwasaidia kazi za masomo wakitoka shule.

Hiyo ilimsukuma kujiendeleza kimasomo kila wakati na kufanya kazi katika serikali ya SMZ na muda mrefu katika NGO's mbalimbali za kimataifa kabla ya kujiunga na siasa kupitia viti maalum CCM.

Mama Samia alipofanikiwa kuteuliwa Mwakilishi wa Viti Maalum alipata faraja kubwa akitegemea kutasaidia kukijenga chama cha CCM kuwa na watendaji wajibu-hoja-wazuri, kutokana na kuona mawaziri wa serikali na wabunge wa CCM kukosa hoja motomoto au majibu yakuridhisha kwa maswali na hoja nzuri za wapinzani na kuzidiwa wakiwa bungeni au baraza la wakilishi wakionekana / kusikika 'live' .

Ghafla bin vu, Mama Samia alipoingia Baraza la Wakilishi akateuliwa kuwa Waziri wa Sera Ajira Maendeleo ya akina Mama na Vijana ktk Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Na miaka 5 baadaye akawa waziri wa Biashara na Utalii katika SMZ. Baadaye akagombea kiti Makunduchi Zanzibar na kufanikiwa kuwa mbunge wa Zanzibar katika Bunge la Jamhuri ya Muungano na kuteuliwa kuwa Waziri wa Mazingira na hatimaye mgombea Mwenza wa Urais na kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania.

Hakutegemea kupewa nafasi hizo ghafla hivyo na pia akikumbuka nondo za wapinzani bungeni kupitia maswali, akaona amewekwa mstari wa mbele kukabiliana na hoja zinazowagusa wananchi ambazo hazipatiwi majibu ya kuwaridhisha wananchi.

Source: Millard Ayo
 
Mar 18, 2014

Mh. Samia Suluhu Hassan achaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba



Source : ITV Tanzania
 
Mh Goodluck Mliga mbunge maoni yake kuhusu muswaada wa marekebisho ya vyama vya siasa

 
Sio huyu aliesema nchi haiwezi chukuliwa kwa makaratasi wakati tuliichukua kwa mapinduzi!!!!sio huyu????Wanamtumia kupunguza chuki ya wananchi dhidi ya ccm!Jiwe kaifanya ccm kuwa chukizo la uharibifu kabisa!!!!
 
Sasa kwa nini hasingeenda kwenye hoja zenye mashiko? Kwa hiyo sasa mawaziri wanazijibu hoja za wapinzani vizuri baada ya yeye kuwa makamu wa Rais?
 
Sio huyu aliesema nchi haiwezi chukuliwa kwa makaratasi wakati tuliichukua kwa mapinduzi!!!!sio huyu????Wanamtumia kupunguza chuki ya wananchi dhidi ya ccm!Jiwe kaifanya ccm kuwa chukizo la uharibifu kabisa!!!!
Hapana yule alikuwa anaitwa Asha Bakari sasa hiv ni Marehemu
 
Huyu mama anatafuta shari na ataipata, anaongelea upinzani kwamba una hoja za msingi....huku akiwa katika jumba takatifu..akila na kunywa bure..aiseee
 
Ni kawaida Dunia nzima Upinzani huwa na hoja nzuri, kwani wao huangalia kile ambacho Serikali inashindwa kukifanya na hiyo siyo rocket science.
 
sema huyu mazaa hana kazi zaidi ya kumwakilisha Rais ktk nje zile ambazo lugha ya malikia ndiyo inayoeleweka tuu
 
21 March 2021
Washington DC

Samia Suluhu Hassan becomes Tanzania’s first woman president​



File Photo : H.E. Ms. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of Tanzania

Born in Zanzibar, Tanzania’s semi-autonomous archipelago, in 1960, Hassan went to primary school and secondary school at a time when very few girls in Tanzania were getting educations as parents thought a woman’s place was that of wife and homemaker.
After graduating from secondary school in 1977, Hassan studied statistics and started working for the government, in the Ministry of Planning and Development. She worked for a World Food Program project in Tanzania in 1992 and then attended the University of Manchester in London to earn a postgraduate diploma in economics. In 2005, she earned a master’s degree in community economic development through a joint program between the Open University of Tanzania and Southern New Hampshire University in the U.S.


Hassan went into politics in 2000 when she became a member of the Zanzibar House of Representatives. In 2010, she won the Makunduchi parliamentary seat with more than 80% percent of the vote. She was appointed a Cabinet minister in 2014 and became vice-chairperson of the Constituent Assembly that drafted a new constitution for Tanzania, a role in which she won respect for deftly handling several challenges.
As president, Hassan’s first task will be to unite the ruling Chama Cha Mapinduzi party behind her, said Ed Hobey-Hamsher, senior Africa analyst with the Verisk Maplecroft research firm. The party has been in power since Tanzania’s independence.
As a Muslim woman from Zanzibar, Hassan may find it difficult to win the support of the party’s mainland Christians, he said, warning that some entrenched leaders may develop “obstructionist strategies” against her. He said it’s likely that Hassan will start her rule by maintaining the status quo and not embarking on a significant Cabinet reshuffle.

Hassan is the second woman in East Africa to serve as head of state. Burundi’s Sylvia Kiningi served as interim president of that tiny landlocked country for nearly four months until Feb. 1994.

Read more :
Source : https://www.washingtonpost.com/worl...es-tanzanias-first-woman-president/2021/03/19
 

Who is Samia Suluhu Hassan, Tanzania's first female president?​

Tanzania's first female president Samia Suluhu Hassan on Friday called for unity after she was sworn in following the sudden death of her predecessor, John Magufuli, from an illness shrouded in mystery.
A file photo of Samia Suluhu Hassan.

A file photo of Samia Suluhu Hassan. Source: Getty
Samia Suluhu Hassan is a soft-spoken, veteran politican unexpectedly thrust from the role of vice president to become Tanzania's first female leader after John Magufuli's sudden death.
Ms Hassan, 61, made history Friday when she was sworn in at a ceremony in Dar es Salaam before a room of dignitaries.
Under the constitution, Ms Hassan will serve the remainder of Mr Magufuli's second five-year term, which does not expire until 2025
Source : Who is Samia Suluhu Hassan, Tanzania's first female president?
 
Back
Top Bottom