comrade wetu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 964
- 605
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Jijini Dodoma leo Agost 22,2019
afadhali aisee leo mawaziri watafunguka.
Mama Samia ataminyia kwa ndani...wafunguke?
..hawaogopi kudukuliwa?
Mama Samia ataminyia kwa ndani.
Alichelewa ndegeMbona yule waziri tuliyeambiwa na Paskal Mayala kwamba hana wizara maalumu hatumuoni hapo ?
Kwan mhe m/kit kunani? Tujuzeni mlioko jikonMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri Jijini Dodoma leo Agost 22,2019
View attachment 1187704
Kwan mhe m/kit kunani? Tujuzeni mlioko jikon
Mama Samia ataminyia kwa ndani.