pinda naye si alikuwa huko? ronadinyo naye kaenda kufanya nini tena?
nimekutana na msafara wa dr bilal ukielekea kia.
Taarifa zinasema amefanya ziara ya ghafla jijini arusha.nafuatilia sababu ya ziara hiyo nikipata nitawajuza.
pinda naye si alikuwa huko? ronadinyo naye kaenda kufanya nini tena?
Mkuu leo niko maeneo hayo tangu asubuhi lakini sikusikia kama makumu wa raisi yuko pande hizo au bado wanafanya mambo yao kimya kimya....huyu jamaa alikuja kufungua tawi la bank hapa arusha kwenye jengo la arusha complex( kwa salim ally) hii bank inaitwa banc abc watu waliokuwepo walimpa v na maneno ya peoplessssssss!!! Akanuna lakini akawa mvuvilivu na mwishowe alipomaliza tu ufunguzi akaishia kia
waendelee kupika wakiivisha tutagoma kula....There is something cooking in AR. Hawa vigogo wa Serikali na magamba mbona wanakuja sana hapo baada ya kumuengua Lema kwa hila za ki-mahakama??
Nimecheka kuliko!!!!