Wakati tunateseka na maradhi we we unaona Ssopi ameleta uchochezi,tunawaza juu ya jinsi tangu Uhuru tukiwa na ccm tumeshindwa kuondoa nyumba za nyasi nchi hii,wewe unawaza vijana Wa chadema wakamatwe,
Tunaishi shule zetu za msingi na sekondari hazina majisafi na salama ,wewe unalishwa matangopori,hakuna dhambi kubwa Duniani kama MTU kupoteza tunu aliyojaliwa na Mwenyezi Mungu" akili" kwa kuwa
Kama Seneta Rahm RAIA Wa USA mwenye asili ya kiisrael anasema" every challenges had its difficults but every choice have difficult decision"
Ccm na nyie vijana Wa Lumumba lazima muwaambie watwezaji wenu kuwa kujenga nchi inahitaji watu makini wasiobebwa na fikra finyu za kichama Bali taswira ya watoto wetu ,wajukuu Wa miaka 50 ijayo watakuta Tanzania IPI?
Hii hii ya wagawana mbao,au itakayokuwa inawika Duniani kwa kukopesha ,kuuza magari nje au ya washabiki Wa muziki Wa Diamond? Tafakari
hujitambui....na vizuri umejihukumu mwenyewe
Chadema ukamanda ndicho cheo chetu, tofauti na cheo chenu cha MAJIPULowasa siku hizi amekuwa kamanda..!! Kweli siasa za bongo hazina tofauti na bongo movie.
Mkuu hata kwa simu huyu angeitwa na kwenda kwa gharama yake.Yaani unabana matumizi huku unasafirisha mtu kutoka iringa to dar kwanini usimsubirie hukohuko . Hypocrisy.
Kumbe umeona nawe mkuu. Alivyoanza nilidhana ana argument nzuri. Kumbe anafurahi kwa kuwa wana bifu. Roho mbaya hazijengi. Unapowaombea wenzio mabaya nawe ujue iko siku yatakufika....una chuki binafsi toka siku nyingi,huna lolote!
Nenda swahilitimes.com.. Alikuwa anawaambia vijana wote Tanzania kuvamia polisi kwenye nyumba zao na kuwapiga. Yani kila kijana mtaani kwake anaeishi na polisi amvamie na kumfanyia uhalifuHiyo speech yake inapatikana wapi? ili tutafakarina kupima hayo aliyo yasema. Hivi wachangiaji wote kwenye uzi huu wanajua amesema nini au ni kila mtu na upande wake? Bi. Mkubwa anasema tunahojoroka tu.