Makamu Mwenyekiti BAVICHA akamatwa na jeshi la Polisi kwa kutoa kauli za kichochezi

1466968899976.jpg
 
Ni uonevu tu unaofanywa na huyu dikteta kupitia mgongo wa polisiccm wa kuwaweka Watanzania roho juu wa kushindwa kukemea maovu na utendaji mbovu ndani ya Serikali hii na Serikali zilizopita.
Sasa ulitaka mtu mchochezi aachwe?
 
Hiyo speech yake inapatikana wapi? ili tutafakarina kupima hayo aliyo yasema. Hivi wachangiaji wote kwenye uzi huu wanajua amesema nini au ni kila mtu na upande wake? Bi. Mkubwa anasema tunahojoroka tu.
 
Walimshindwa alipokuwa huko alikotenda hilo kosa? Au wamehisi tu? Nchi ya vituko hii.
 
Bahati mbaya au nzuri mahakama za Tanzania haziko speed sawa na ya jeshi la polisi. Kesi nyingi uzito wake unaishia polisi zikienda mahakamani zinakua hazina impact.
 
kijana hachomoki hapo....hakuzingatia nini cha kuongea kwenye public.
kiusalama alikosea sana kuongea yale maneno.sitashangaa wengine wakimtetea tena humu.mimi ni mpinzani lakini kiukweli alikosea sana kulingana na nafasi yake
Hebu wapige kidogo kwenye miguu ndio ataelewa nini cha kuongea siku nyingine. Hata Isimani alitupuuzia sana wakati wa uchaguzi na kujiona yeye ndo yeye na kutamka kauli mbofu mbofu sana kwa sisi wanaharakati.

Acha kutudanganya kuwa wew ni mpinzani. Mpinzani wa nchi gan wew.? Au uganda
 
Huu upuuzi wa lumumba na genge lao la hao form four failure utafikia ukomo soon.....
 
kijana hachomoki hapo....hakuzingatia nini cha kuongea kwenye public.
kiusalama alikosea sana kuongea yale maneno.sitashangaa wengine wakimtetea tena humu.mimi ni mpinzani lakini kiukweli alikosea sana kulingana na nafasi yake
Hebu wapige kidogo kwenye miguu ndio ataelewa nini cha kuongea siku nyingine. Hata Isimani alitupuuzia sana wakati wa uchaguzi na kujiona yeye ndo yeye na kutamka kauli mbofu mbofu sana kwa sisi wanaharakati.
mpinzani wewe?
 
Wakati tunateseka na maradhi we we unaona Ssopi ameleta uchochezi,tunawaza juu ya jinsi tangu Uhuru tukiwa na ccm tumeshindwa kuondoa nyumba za nyasi nchi hii,wewe unawaza vijana Wa chadema wakamatwe,

Tunaishi shule zetu za msingi na sekondari hazina majisafi na salama ,wewe unalishwa matangopori,hakuna dhambi kubwa Duniani kama MTU kupoteza tunu aliyojaliwa na Mwenyezi Mungu" akili" kwa kuwa
Kama Seneta Rahm RAIA Wa USA mwenye asili ya kiisrael anasema" every challenges had its difficults but every choice have difficult decision"

Ccm na nyie vijana Wa Lumumba lazima muwaambie watwezaji wenu kuwa kujenga nchi inahitaji watu makini wasiobebwa na fikra finyu za kichama Bali taswira ya watoto wetu ,wajukuu Wa miaka 50 ijayo watakuta Tanzania IPI?

Hii hii ya wagawana mbao,au itakayokuwa inawika Duniani kwa kukopesha ,kuuza magari nje au ya washabiki Wa muziki Wa Diamond? Tafakari
hujui ukiandikacho wala hujui tukio lilivyo....! wrong thought here na sio mahara pake...ishu ni kukamatwa kwa sosopi
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom