nunua mpya na original uweze kufaidi mkuuWengine simu zetu hazina uwezo,tafadhali tupeni maelezo ya juu aliyoyasema.
Kwa tafsiri ya haraka haraka unaweza kuyaita hayo maneno ya uchochezi. Lakini ukitafakari na kuangalia hali halisisi inayo endelea nchini kwetu,utaona kuwa alichokisema kina ukweli ndani yake. Sehemu yoyote ile iwe kwenye ganzi ya familia, shina, kijiji n.k, haki inapotolewa kwa upendeleo kauli kama hizi huwa haziepukiki. Hata wakati wa ukoloni wapigania uhuru wa nchi yetu waliyasema maneno kama hayo kwa serikali ya kikoloni iliyokuwa ikiwanyima haki. Tumeona akina Nelson Mandela (RIP) na wenzake wameyasema maneno kama hayo kwa serikali ya makabulu. Kwa mtazamo wangu nasema viongozi wetu wajuu wajitafakari sana wakati wanapotoa haki. Wasifiwe biased.No Comments
mpaka kielewekeUjumbe umefika
Halafu hayo si yaliitwa mahafali ya Wanafunzi kumaliza Chuo Kikuu, hivi kosa la Serikali ni lipi kuyapiga marufuku?
Mkuu, unaongea kama hujaenda shule bwana. Tumeona kuanzia mashule ya sekondary, vyuo, vyuo vikuu n.k kuna vikundi mbali mbali vinavyofanya mahafali kuwapongeza wenzao wanao hitimu. Mfano, vikundi vya dini, wakristo na waislamu wamekuwa wakifanya mahafali kama hayo. Na kinachoongelewa huko pamoja na mambo mengine ni mahubiri. Viongozi wa dini hizo huarikwa kwa ajili ya kutoa nasaa zao kwa wahitimu. Haya yalikuwa mahafasi ya wanachama wa chama cha siasa, je, kwa akili yako ulitegemea nini kiongelewe kama siyo siasa? jaribu kufikiria nje ya box, usiwe confinedHalafu hayo si yaliitwa mahafali ya Wanafunzi kumaliza Chuo Kikuu, hivi kosa la Serikali ni lipi kuyapiga marufuku?
Inapendeza akatoe huu utetezi mahakamani.. Kwamba alitaka raia wakaue polisi kwa sababu hizo na mahakama itamwelewa.Kwa tafsiri ya haraka haraka unaweza kuyaita hayo maneno ya uchochezi. Lakini ukitafakari na kuangalia hali halisisi inayo endelea nchini kwetu,utaona kuwa alichokisema kina ukweli ndani yake. Sehemu yoyote ile iwe kwenye ganzi ya familia, shina, kijiji n.k, haki inapotolewa kwa upendeleo kauli kama hizi huwa haziepukiki. Hata wakati wa ukoloni wapigania uhuru wa nchi yetu waliyasema maneno kama hayo kwa serikali ya kikoloni iliyokuwa ikiwanyima haki. Tumeona akina Nelson Mandela (RIP) na wenzake wameyasema maneno kama hayo kwa serikali ya makabulu. Kwa mtazamo wangu nasema viongozi wetu wajuu wajitafakari sana wakati wanapotoa haki. Wasifiwe biased.
Anawaambia chadema wafanye uhalifu dhidi ya jeshi letu la polisi.Wengine simu zetu hazina uwezo,tafadhali tupeni maelezo ya juu aliyoyasema.
Mkuu shida ya jamii yetu ni kwamba tunaangalia upande mmoja tu na kuingiza ushabiki wa kisiasa. Lakini ukweli ni kwamba watu watakapochoka madhara yatakuwa makubwa sana. Mifano ipo mingi tu ambayo watu walivyochoka kuvumilia ilikuwa shida. Tumeona Rwanda, tumeona S.Africa wakati wa utawala wa Makaburu, tumeona Arab spring n.k. Lakini watawala wetu hawataki kujifunza kutokana na makosa yaliyofanywa na watu wengine ili wao wayaepuke.Siungi mkono vijana kuleta vurugu au kuhujumu familia za polisi huko mitaani, ila pia siungi mkono utendaji wa polisi unaosababisha chuki za kijamii bila sababu za msingi! Viongozi wanaowatumia polisi vibaya ili kufanikisha malengo yao watambue kuwa hao polisi wadogo wanaowatuma hawako wa kutosha, na hawako salama kule mtaani wanakoishi na familia zao! Uvumilivu wa wananchi utakapoisha wajue madhara yatakuwa makubwa sana!