Wana JF, Leo Mh samia katoa neno zito dhidi ya makampuni yenye dhamana ya usafi katika mitaa yetu kuwa yamulikwe kama yanatimiza wajibu wao ipasavyo,naomba tuyataje makampuni hayo na wamiliki wao tuyajadili. Mods leave this topic stand alone please.
?.... na mwenge ukimbizwe bila sent yoyote ya serikali, tujitolee kuukimbiza kavukavu... !