kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
Makampuni ya ulinzi kwa kweli yanakwenda na wakati. Kwa sasa wanaajiri mabint warembo ambao siku za nyuma walikuwa wanapatikana kwenye mapokezi ya mahoteli na ya maofisi makubwa hapa town.
Watoto wa mujini sasa hatukimbizani tena na vitoto vya IFM na CBE kiviile, mambo yote kwa walinzi hawa, ni wakali na wasafi. Hawana longolongo wala usumbufu, unauliza tu anatoka muda gani, akikujibu tayari kesha kuelewa. Sasa mie nakagua mageti ya maofisi tu.
Boflo, MziziMkavu, KingKongIII mambo mapya hayo.
Watoto wa mujini sasa hatukimbizani tena na vitoto vya IFM na CBE kiviile, mambo yote kwa walinzi hawa, ni wakali na wasafi. Hawana longolongo wala usumbufu, unauliza tu anatoka muda gani, akikujibu tayari kesha kuelewa. Sasa mie nakagua mageti ya maofisi tu.
Boflo, MziziMkavu, KingKongIII mambo mapya hayo.