Breki sina
Member
- Jun 3, 2013
- 96
- 31
Soure bbc news,kuna mjadala sasa unaendelea kuhusu kampuni za kigeni kukwepa ulipaji kodi kwa nchi za Afrika,wasemaji ni Mh Zitto,Lipumba,na kwa mujibu wa Mh Kabwe anasema tatizo ni kuwa kampuni hizi zinatumia mbinu za kihasibu kuonyesha kuwa zinapata hasara zinapokuwa zinapofanya kazi mfano anasema benki ya Afrika imeonyesha kuwa we loss 1trion kwa kampuni hizi kukwepa kodi ama kwa njia za Ufisadi,huku Mh Lipumba akisema hata nchi za Ulaya kupitia G8 wameamua kubana makampuna haya wakati sie Tanzania tunaendelea kutoa misamaha ya kodi kwenye maeneo mbalimbali huu ni udhaifu wa Serikali hivi tumerogwa na nani,nitaendelea kukujuza kinachosemwa.