Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,611
- 20,935
Ni ushari wangu binafsi kwa makampuni tumuunge mkono mkuu wetu wa mkoa wa Dar es Salaam katika juhudi zake za kulirudishia jiji letu Hadhi yake, mwenye kuweza kuchangia pavement achangie, mwenye kuweza kuchangia vyuma achangie.
Mji wetu unahitaji sana vyuma vya separation kati ya barabara za Magari na watembea kwa miguu, pavement kwa sehemu ambazo zimebomoka, au kubomolewa, alimradi jiji linarudi katika ubora wake na unadhifu wake.
Bado napapigia kelele nyuma ya ofisi za TFF, Karume, haparidhishi kabisa, makampuni yajitokeze na yawe sehemu ya kuunga mkono, juhudi za mkuu wetu wa mkoa, Ndg.Amos makala.
WASALAMU.
Mji wetu unahitaji sana vyuma vya separation kati ya barabara za Magari na watembea kwa miguu, pavement kwa sehemu ambazo zimebomoka, au kubomolewa, alimradi jiji linarudi katika ubora wake na unadhifu wake.
Bado napapigia kelele nyuma ya ofisi za TFF, Karume, haparidhishi kabisa, makampuni yajitokeze na yawe sehemu ya kuunga mkono, juhudi za mkuu wetu wa mkoa, Ndg.Amos makala.
WASALAMU.