engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
huu mwaka kitaeleweka tu,mchawi atapatikana tu
hivi shyrose nae ni kijana? sijui katiba ya ccm inavyoprovide kuhusu umri wa kuwa uvccm.
nisaidieni wadau isije ikawa wanachakachua kila kitu
Ongelea hoja iliyopo usiongelee vitu au mtu,hivi shyrose nae ni kijana? sijui katiba ya ccm inavyoprovide kuhusu umri wa kuwa uvccm.
nisaidieni wadau isije ikawa wanachakachua kila kitu
Kwani Shy-Rose ana umri wa miaka mingapi na kikomo cha umri kwa UVCCM ni miaka mingapi mi nadhani Shy-Rose anasitahili kuwemo kwenye UVCCM,huko kuna wafaa akina JaffaraiWajumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) wa Dar es Salaam katika kikao chake kilichofanyika jijini leo April 2, 2011, wamemtaka Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba, kujiuzulu kwenye nafasi hiyo kwa kuwa mzigo kwa chama tawala.
Kikao hicho kimefanyika kwenye ofisi kuu ya CCMn ya wilaya ya Kinondoni.
Wajumbe hao wa UVCCM Dar es Salaam wamemkataa Makamba na kusema kuwa utendaji kazi wake ni mbovu ndani ya chama.
Hatua hiyo inafuatia tathmini ya uchaguzi mkuu wa 2010 ambapo CCM ilifanya vibaya na kupoteza kura nyingi za Urais na majimbo mengi ya Ubunge kwa vyama vya upinzani.
Pia, wajumbe hao wa UVCCM walirejea hotuba ya Mwenyekiti wao wa taifa, Jakaya Kikwete, kuwa CCM inahitaji mabadiliko na kuvua gamba, na kusema kuwa mabadiliko yaanze kwa Makamba kung'oka kwenye nafasi yake ya uongozi.
Katika kikao cha leo, wajumbe wengi waliochangia walimnyooshea kidole Makamba kutokana na utendaji usioridhisha.
Mjumbe wa UVCCM, Shy-Rose Bhanji, alisimama tena kama alivyofanya hivi karibuni Dodoma mbele ya Makamba mwenyewe na kuendelea kumchana kiongozi huyo.
Bhanji alisisitiza kuwa muda umefika sasa kwa Makamba kuachia ngazi kwa vile hatoshi kwenye nafasi ya katibu Mkuu wa CCM.
Nao wajumbe wengine wa UVCCM walisimama na kuunga mkono moto uliowashwa na Bhanji na kusema kuwa Makamba amekuwa mzigo kwa chama na sasa ni muda muafaka kwake kupisha damu mpya ili kuleta uhai kwenye chama.
(Source: Wajumbe wa UVCCM Dar es Salaam)
Heheeee na kweli Shy si mfano wa kuigwa kwa vijana,matendo lazima yaendane na heshima ya mtu kwa hilo Makamba alisema ukweli japo ukweli unauuma mtu mzima anayevaa kihuni hastahili kupewa uongozi,Subirini Makamba atakavyomjibu huyo Shyrose wenu, last time alimwambia anavaa nguo fupi sana na ana hawara CHADEMA!!. Tusubiri safari hii atatoka vipi huyu mgosi. Makamba bwana!!!
hivi shyrose nae ni kijana? sijui katiba ya ccm inavyoprovide kuhusu umri wa kuwa uvccm.
nisaidieni wadau isije ikawa wanachakachua kila kitu
hivi shyrose nae ni kijana? sijui katiba ya ccm inavyoprovide kuhusu umri wa kuwa uvccm.
nisaidieni wadau isije ikawa wanachakachua kila kitu
Ongelea hoja iliyopo usiongelee vitu au mtu,
mimi sikubaliani na hoja ya Makamba kutimuliwa abaki hadi 2015.
NA KINGUNGE JE!?? Tehe tehe!!!hivi shyrose nae ni kijana? sijui katiba ya ccm inavyoprovide kuhusu umri wa kuwa uvccm.
nisaidieni wadau isije ikawa wanachakachua kila kitu
Kwani Shy-Rose ana umri wa miaka mingapi na kikomo cha umri kwa UVCCM ni miaka mingapi mi nadhani Shy-Rose anasitahili kuwemo kwenye UVCCM,huko kuna wafaa akina Jaffarai
Mkuu ni kweli kabisaCCM wajipange vizuri ili kuanzia mwaka 2015 kiwe chama kizuri cha upinzani.
jaman 2angalie huku na huku! Shyrose co kjana! Sura imemkongoroka vle ana ujana gn jaman? Labda km ni mcmamiz wa hao vjana! Yule ss ni m-mama!