Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,254
- 906
Hivi Gupta alikuwa mwanza vile ama! mimi nilimkta Kilimanjaro miaka ya 84!
Alishawahi kuwa kamanda wa vijana pia Mwanza na Arusha.
Hivi Gupta alikuwa mwanza vile ama! mimi nilimkta Kilimanjaro miaka ya 84!
Huyu Shy-Rose ana zaidi ya 44yrs. Kwa wazazi wake alikokulia ni mtaa wa Miti Mirefu Mwanza, alisome Nyakahoja P/School miaka hiyo ya '80. Yeye alikuwa amenitangulia madarasa na mimi nina over 40yrs sasa, yeye je? Kamekula chumvi kibao anastahili kuitwa Bibi kama angekulia kijijini!
Tulikuwa naye kwenye kikosi cha "chipukizi wa mkoa wa Mwanza" enzi hizo za kamanda Marehemu Gupta, baada ya vita vya Kagera! Sijajua CCM vijana ukomo wa umri ni miaka mingapi! Enzi za Mwalimu limit ilikuwa 35yrs. Kwa sasa sijui!