mbikagani
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 3,107
- 1,782
Akihojiwa na BBC Swahili, January Makamba amesema na wao(CCM) wanashangaa ZEC kufuta uchaguzi japo walikuwa wanaongoza ingawa kwa ushindi mwembamba.
Makamba anapaswa kuona aibu kwa matamshi haya, Ina maana CCM haifahamu kinachoendelea ZEC?
Makamba, Mungu hapendi dhuluma. Acheni janjajanja isiyo na msingi.
Makamba anapaswa kuona aibu kwa matamshi haya, Ina maana CCM haifahamu kinachoendelea ZEC?
Makamba, Mungu hapendi dhuluma. Acheni janjajanja isiyo na msingi.