Makamba: Tunashangaa ZEC kufuta uchaguzi

Makamba: Tunashangaa ZEC kufuta uchaguzi

lowasa ni mzee wa mikakati,usikute mwenuyekiti wa ZEC kapigwa pesa ndefu aharibu ili uchagiuzi ufutwe,,,,nyie hamshangai lowasa anajifanya hajui kuwa zenj wamefuta uchaguzi,,,,,,,,
Mzee utakuja gongewa demu umlaumu lowasa
 
lowasa ni mzee wa mikakati,usikute mwenuyekiti wa ZEC kapigwa pesa ndefu aharibu ili uchagiuzi ufutwe,,,,nyie hamshangai lowasa anajifanya hajui kuwa zenj wamefuta uchaguzi,,,,,,,,

Mkuu hivi CUF alipo weza kupenya ngome ya ccm kule unguja na kuchukua viti nane! mlitegeme CUF kashindwa?? Alafu mbaya zaidi maalim aka pre - empty mapema. Kwa kifupi ni kuwa ccm wameona wana shindwa ndo kuamua kuvuruga kupitia ZEC. Mahana ZEC imejilalamikia yenyewe kuwa ime vurunda, kwani hakuna mgombea yeyote aliye ilalamikia kuwa mambo yanapelekwa ndivyo sivyo.
 
Kuna taka na taka ngumu,huyu yupo kwenye kundi hilo la pili,eti ndiye proffessional mastermind wa uchakachuaji ccm!! Poor him
Ninaomba Watanzania wenye mapenzi mema na demokrasia kumtangaza rasmi January Yusuf Makamba adui number moja wa Demokrasia Tanzania na Africa nzima! Huyu mtu ni hatari sana kwa ustawi wa demokrasia. CDM mtangazeni kama ADUI mkubwa!
 
Huyu dogo tokea alipobebwa na Kikwete na kuwa kati bora tano za fisiem, basi anajiona kama makamu wa rais kama sio rais mwenyewe! nyambaf.
Anajua vizuri sana kuwa huu ndio ulikuwa mpango be (Plan B) ya fisiem hata huku bara kwamba iwapo EL angeonekana anamzidi sana Makomeo kwa kiasi cha namba kutoweza kuchakachuliwa, NEc ingetangaza kasoro za upigaji kura kuwa nyingi na hivyo kusitisha mchakato wa kuhesabu na kuchakata kura za urais. Sasa anajifanya hajui!
Mkuu hasante sana kwa kuona plan B, alafu pia unaweza ku associated na baraza la mawaziri kutovunjwa, kwani utekelezaji wa plan B, wakati baraza halipo inge leta hitaji la selekali ya mpito.
 
kilichofanyika zanzibar hakitutofautishi na rwanda wala burundi. kwa sasa hatuwezi kuwanyoshea rwanda kidole kamwe?
 
Huyu kijana sijawahi kukubaliana na praise anazopewa kwamba ana uwezo mkubwa sana kiakili. Ni kwamba amezaliwa kwenye familia influential na amebebwa hasa kufika hapa alipo. Kichwani kwake anadhani kwamba yeye na familia yake na chama chake wana hatimiliki ya taifa zima. He is very wrong. Watch and learn January this time you are going down.
 
Breaking News: Zanzibar yaingia katika historia Duniani kwani ndio Nchi pekee ambayo badala ya Wananchi na Wagombea kulalamika kuwa Uchaguzi Mkuu 2015 haukuwa Huru na Haki lakini Tume ya Uchaguzi Zanzibar ndio inalalamika.
 
Back
Top Bottom