Makamba: Tunashangaa ZEC kufuta uchaguzi

Makamba: Tunashangaa ZEC kufuta uchaguzi

Hata kama siasa ni uongo uongo basi ndio mpitilize kiasi muone dhuluma na uongo ndio mfumo wa maisha yenu, hapana tussikufuru tumuogope mungu japo kwa kiasi kidogo.
 
Tunaweza kuwadangaya watu frani kwa kipindi frani uwezi kuwadanganya watu wote kwa muda wote

You can fool some people sometimes but you cant fool all the people all the time...time will tell
 
Kuna taka na taka ngumu,huyu yupo kwenye kundi hilo la pili,eti ndiye proffessional mastermind wa uchakachuaji ccm!! Poor him

huyo ni kilaza kma baba yke ccm wamekosa wa2 wa kufanya siasa safi eti huyu takataka ndio think tank wao
 
leo nimeelewa Kumbe CCM ni wang'ang'anizi wa madaraka
 
Akihojiwa na bbc swahili, January makamba amesema na wao(ccm) wa nashangaa ZEC kufuta uchaguzi japo walikuwa wanaongoza ingawa kwa ushindi mwembamba.
Makamba anapaswa kuona aibu kwa matamshi haya, Ina maana ccm haifaham kinachoendelea ZEC?
Makamba, mungu apendi dhuruma. Acheni janjajanja isiyo na msingi.
Ila huyu jamaa km vile hafikirii bali anaweza
 
Huyu ni namba tatu kumpeleka, kauli zake zinachochea vurugu
 
Akihojiwa na bbc swahili, January makamba amesema na wao(ccm) wa nashangaa ZEC kufuta uchaguzi japo walikuwa wanaongoza ingawa kwa ushindi mwembamba.
Makamba anapaswa kuona aibu kwa matamshi haya, Ina maana ccm haifaham kinachoendelea ZEC?
Makamba, mungu apendi dhuruma. Acheni janjajanja isiyo na msingi.

Makamba mnafiki xana !
 
lowasa ni mzee wa mikakati,usikute mwenuyekiti wa ZEC kapigwa pesa ndefu aharibu ili uchagiuzi ufutwe,,,,nyie hamshangai lowasa anajifanya hajui kuwa zenj wamefuta uchaguzi,,,,,,,,
Ukishashiba basi ata maneno ya kuandika hunakosa.
 
Nimeamini kweli lowassa Jembe unajuwa kwamba bila lowassa tusingefika hapa tulipo .hongera sana Baba mimvi
 
Akihojiwa na bbc swahili, January makamba amesema na wao(ccm) wa nashangaa ZEC kufuta uchaguzi japo walikuwa wanaongoza ingawa kwa ushindi mwembamba.
Makamba anapaswa kuona aibu kwa matamshi haya, Ina maana ccm haifaham kinachoendelea ZEC?
Makamba, mungu apendi dhuruma. Acheni janjajanja isiyo na msingi.


Mnafiki tu huyo kujifanya kujitoa ufahamu na kutuletea viini macho ilhali anaelewa fika kinachoendela ZEC!
Eti anashangaa..., si akashangae feri shilingi inazama na meli inaelea!
 
Team Mwinyi, Mkapa na Kikwete wlikuwa Z'bar na ndio walioamrisha uchaguzi ufutwe baada ya kuona maalim anapasua mbuga. Majaribio ya kuchakachua yalipogonga mwamba wakaamua bora kufuta.
 
Akihojiwa na bbc swahili, January makamba amesema na wao(ccm) wa nashangaa ZEC kufuta uchaguzi japo walikuwa wanaongoza ingawa kwa ushindi mwembamba.
Makamba anapaswa kuona aibu kwa matamshi haya, Ina maana ccm haifaham kinachoendelea ZEC?
Makamba, mungu apendi dhuruma. Acheni janjajanja isiyo na msingi.

Eti ndio kichwa wa chama teheee😁😁😁😁
 
Huyu dogo tokea alipobebwa na Kikwete na kuwa kati bora tano za fisiem, basi anajiona kama makamu wa rais kama sio rais mwenyewe! nyambaf.
Anajua vizuri sana kuwa huu ndio ulikuwa mpango be (Plan B) ya fisiem hata huku bara kwamba iwapo EL angeonekana anamzidi sana Makomeo kwa kiasi cha namba kutoweza kuchakachuliwa, NEc ingetangaza kasoro za upigaji kura kuwa nyingi na hivyo kusitisha mchakato wa kuhesabu na kuchakata kura za urais. Sasa anajifanya hajui!
 
lowasa ni mzee wa mikakati,usikute mwenuyekiti wa ZEC kapigwa pesa ndefu aharibu ili uchagiuzi ufutwe,,,,nyie hamshangai lowasa anajifanya hajui kuwa zenj wamefuta uchaguzi,,,,,,,,

Umeota ndoto za kuzimu.
 
Kaizi ka pepa Galanos kanakuwa kasemaji ka chama
 
Mnafiki kazini, maigizo tupu mnafanya ccm,na kile kibabu cha ZEC najua tu kimeshinikizwa ila huko alipo japo ana ulinzi mkali, atakuwa anajuta sana kwa jinsi upepo unavyoenda.
 
akihojiwa na bbc swahili, january makamba amesema na wao(ccm) wa nashangaa zec kufuta uchaguzi japo walikuwa wanaongoza ingawa kwa ushindi mwembamba.
Makamba anapaswa kuona aibu kwa matamshi haya, ina maana ccm haifaham kinachoendelea zec?
Makamba, mungu apendi dhuruma. Acheni janjajanja isiyo na msingi.

mimi huyu kijana ananitia shaka jinsi alivyokaa kipropaganda. Ni busara kwake kukaa kimya hata kama amerithi tabia ya usemaji toka kwa baba yake. Anapenda kutoa matamko bila ushahidi na utafiti wa kina, anafikiri hatujui, asituzuge hapa , shein ameshaconcede defeat na ndo maana maalim seif anataka waendelee na uhesabuji; kubatilishwa kwa matokeo ni kwa faida ya ccm siyo ukawa wala cuf.
 
Back
Top Bottom