Good Guy
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 3,809
- 1,406
Au padiri mwenye wake wawili
Bwana zoba you amaize me my friend,nimeona thread yako ukilaani CDM kwa kitendo chao.Huwa najiuliza inakuaje mtu kama wewe educated(at least you can use the internet) unaona sakata za wana Chakachua Chako Mapema wizi,very poor leadership,ufujishaji mkubwa wa mali za umma,uchakachuaji wa haki za raia na ukawa na ujasiri mkubwa na kujivunia kuwa mwana Sisiem,people like you amaize me.