Shutuma dhidi ya kuitwa kwa Membe jukwaani: Mzee Makamba amuunga mkono Dk. Bashiru na kudai hata yeye alikuwa akiwaita kwa utaratibu huo..

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
IMG_0310.JPG


Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Yusuf Makamba amepingana na kauli iliyotolewa na aliyewahi kuwa Spika na Katibu Mkuu wa CCM, Pius Chipanda Msekwa juu ya shutuma alizoelekeza kwa Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally kwa kitendo cha kumuita kupitia majukwaani, kada wake, Bernard Membe.

Makamba akihojiwa na Mwananchi ameunga mkono utaratibu uliotumiwa na Mhadhiri huyo wa zamani wa UDSM na kudai Bashiru ni mtendaji mkuu wa Chama anayewakilisha Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu, hivyo ana mamlaka ya kumuita mwanachama yeyote hata ikiwa hadharani.

Makamba alisema kuwa, hata yeye alipokuwa Katibu Mkuu alikuwa akiwaita wabachama wake vivyo hivyo na kwamba aliwahi kuitwa na Viongozi wa TANU. "Mimi niliwahi kuitwa na (John) Mhavile, nilikuwa Mkuu wa Wilaya ya Tanga. Mhavile alikuwa Katibu Mtendaji wa TANU, yalitokea maneno pale Tanga nikaambiwa njoo, tena si kwa simu. Niliwahi kuitwa na (Balozi Daudi) Mwakawago. Kwa hiyo haya mambo si kwamba ni ya jana."

Mzee Makamba alisema kuwa hata yeye aliwahi kuitwa na Msekwa: "Niliwahi kuitwa na Msekwa kwamba njoo Dodoma na nikaenda. Kwa hiyo ni utaratibu haukuanza jana."

"Kwa hiyo kuitwa na wakubwa ni jambo la kawaida, msiwaonee kwa njia waliyotumia. Kubwa Katibu Mkuu yuko sahihi."

IMG_0311.JPG
 
Viongozi Wastaafu hasa wa CCM, wakiwemo Msekwa, Warioba, Butiku na wengine watambue nafasi zao kwenye jamii wanapotoa maoni wasije wakawa wanawanufaisha zaidi maadui wa Chama chao.

Muwashauri Viongozi wa Serikali wa sasa watekeleze Ilani ya Chama ya 2015 - 2020, ambayo waliinadi kwa wapiga kura mwaka 2015. Msisubirie kuhojiwa na magazeti wakati mngeweza kuwapigia simu na kuwaelekeza kabla mambo hayajaharibika.

Hao mnaowakosoa na kuwapinga ndio hao hao mnaoombea waendelee kuiweka CCM madarakani ili ndoto zenu na maslahi yenu yalindwe.
 
nitafurahi kujua matokeo ya ukaguzi wa mali za chama inaonekana mkuu Ana leverage kubwa sana kawashika pabaya. msahau nguvu ya wazee.
 
Kwaio Makamba alishawahi ita watu kwa style hio au alishawahi itwa kwa style hio?
 
View attachment 956433

Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Yusuf Makamba amepingana na kauli iliyotolewa na aliyewahi kuwa Spika na Katibu Mkuu wa CCM, Pius Chipanda Msekwa juu ya shutuma alizoelekeza kwa Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally kwa kitendo cha kumuita kupitia majukwaani, kada wake, Bernard Membe.

Makamba akihojiwa na Mwananchi ameunga mkono utaratibu uliotumiwa na Mhadhiri huyo wa zamani wa UDSM na kudai Bashiru ni mtendaji mkuu wa Chama anayewakilisha Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu, hivyo ana mamlaka ya kumuita mwanachama yeyote hata ikiwa hadharani.

Makamba alisema kuwa, hata yeye alipokuwa Katibu Mkuu alikuwa akiwaita wabachama wake vivyo hivyo na kwamba aliwahi kuitwa na Viongozi wa TANU. "Mimi niliwahi kuitwa na (John) Mhavile, nilikuwa Mkuu wa Wilaya ya Tanga. Mhavile alikuwa Katibu Mtendaji wa TANU, yalitokea maneno pale Tanga nikaambiwa njoo, tena si kwa simu. Niliwahi kuitwa na (Balozi Daudi) Mwakawago. Kwa hiyo haya mambo si kwamba ni ya jana."

Mzee Makamba alisema kuwa hata yeye aliwahi kuitwa na Msekwa: "Niliwahi kuitwa na Msekwa kwamba njoo Dodoma na nikaenda. Kwa hiyo ni utaratibu haukuanza jana."

"Kwa hiyo kuitwa na wakubwa ni jambo la kawaida, msiwaonee kwa njia waliyotumia. Kubwa Katibu Mkuu yuko sahihi."

View attachment 956432
Hahahaa....... Umenikumbusha Rostam Aziz alivyokuwa anachapa makofi wanafiki!
 
Maisha hubadilika kulingana na teknolojia na uchumi wa jamii. Anapoongelea aliitwa na kiongozi wa TANU maana yake ni miaka zaidi ya 41 iliyopita (i.e aliitwa kabla ya tarehe 05/02/1977).

Pengine kwa kipindi hicho utaratibu ulikuwa sahihi kwa sababu:-
1. Teknolojia ya mawasiliano kwa miaka hiyo. Kwa sasa haufai kwa sababu ya miundombinu ya mawasiliano kama: Simu, Telegram, Fax n.k

2. Mfumo wa siasa wa kipindi hicho (MONOPARTY)
(Kwa sasa haufai kwa sasabu ya MULTPARTISM. Sio vzr had jiran ajue mmegombana)

3. Kuingizwa kwa BILLS OF RIGHTS kwenye katiba yetu. Amesema yeye aliitw na kiongozi wa TANU (that means kabla ya 1977 BILLS OF RIGHTS kwenye katiba yetu zimeingizwa mwaka 1984 so utaratibu uliotumika kabla ya BILLS OF RIGHTS haufai kwa kipindi ambacho tayar BILLS OF RIGHTS zimeingizwa kwenye katiba.

HII NI SAWA NA KURUDISHA SHERIA YA ZAMANI ILIYOKUWA INASEMA KOSA LA MKE NI KOSA LA MME PIA. (i.e mke akifanya kosa mfano wizi, n.k mme anashtakiwa na kupewa adhabu) eti ni utaratibu wa kawaida kwa sasabu ulikwepo hapo kale.
 
View attachment 956433

Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Yusuf Makamba amepingana na kauli iliyotolewa na aliyewahi kuwa Spika na Katibu Mkuu wa CCM, Pius Chipanda Msekwa juu ya shutuma alizoelekeza kwa Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally kwa kitendo cha kumuita kupitia majukwaani, kada wake, Bernard Membe.

Makamba akihojiwa na Mwananchi ameunga mkono utaratibu uliotumiwa na Mhadhiri huyo wa zamani wa UDSM na kudai Bashiru ni mtendaji mkuu wa Chama anayewakilisha Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu, hivyo ana mamlaka ya kumuita mwanachama yeyote hata ikiwa hadharani.

Makamba alisema kuwa, hata yeye alipokuwa Katibu Mkuu alikuwa akiwaita wabachama wake vivyo hivyo na kwamba aliwahi kuitwa na Viongozi wa TANU. "Mimi niliwahi kuitwa na (John) Mhavile, nilikuwa Mkuu wa Wilaya ya Tanga. Mhavile alikuwa Katibu Mtendaji wa TANU, yalitokea maneno pale Tanga nikaambiwa njoo, tena si kwa simu. Niliwahi kuitwa na (Balozi Daudi) Mwakawago. Kwa hiyo haya mambo si kwamba ni ya jana."

Mzee Makamba alisema kuwa hata yeye aliwahi kuitwa na Msekwa: "Niliwahi kuitwa na Msekwa kwamba njoo Dodoma na nikaenda. Kwa hiyo ni utaratibu haukuanza jana."

"Kwa hiyo kuitwa na wakubwa ni jambo la kawaida, msiwaonee kwa njia waliyotumia. Kubwa Katibu Mkuu yuko sahihi."

View attachment 956432
MZEE makamba ni mtu msema kweli huwa hatafuni maneno kwa kifupi sio mnafiki.
 
Mwacheni apumzike, uzee unamsumbua + Njaa + opportunism.
Mbona hasemi aliitwa au alimuita nani hadharani kwa serious allegations.
Huo sio utaratibu wa Chama, wametuhumiwa wengi na musiba kutaja wachache Kinana, January, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Ex Takukuru Boss na Makamba mwenyewe, mbona hawajaitwa! Hiyo ni defensive mechanism ya mzee makamba.
Above all ni kosa lipi kufikiria kuwa unaweza kuwa presidential material baada ya mhula wa aliyeko madarakani? Kwann katiba ya CCM haikuweka kuwa mgombea wake akishakuwa mtawala atahudumu mihula miwili bila ya kuwa na haja ya kufanya mchakato mwingine ndani ya Chama!
 
THE BEST COMMENT kwa Babu na pia Baba yetu.
Maisha hubadilika kulingana na teknolojia na uchumi wa jamii. Anapoongelea aliitwa na kiongozi wa TANU maana yake ni miaka zaidi ya 41 iliyopita (i.e aliitwa kabla ya tarehe 05/02/1977).

Pengine kwa kipindi hicho utaratibu ulikuwa sahihi kwa sababu:-
1. Teknolojia ya mawasiliano kwa miaka hiyo. Kwa sasa haufai kwa sababu ya miundombinu ya mawasiliano kama: Simu, Telegram, Fax n.k

2. Mfumo wa siasa wa kipindi hicho (MONOPARTY)
(Kwa sasa haufai kwa sasabu ya MULTPARTISM. Sio vzr had jiran ajue mmegombana)

3. Kuingizwa kwa BILLS OF RIGHTS kwenye katiba yetu. Amesema yeye aliitw na kiongozi wa TANU (that means kabla ya 1977 BILLS OF RIGHTS kwenye katiba yetu zimeingizwa mwaka 1984 so utaratibu uliotumika kabla ya BILLS OF RIGHTS haufai kwa kipindi ambacho tayar BILLS OF RIGHTS zimeingizwa kwenye katiba.

HII NI SAWA NA KURUDISHA SHERIA YA ZAMANI ILIYOKUWA INASEMA KOSA LA MKE NI KOSA LA MME PIA. (i.e mke akifanya kosa mfano wizi, n.k mme anashtakiwa na kupewa adhabu) eti ni utaratibu wa kawaida kwa sasabu ulikwepo hapo kale.
 
View attachment 956433

Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Yusuf Makamba amepingana na kauli iliyotolewa na aliyewahi kuwa Spika na Katibu Mkuu wa CCM, Pius Chipanda Msekwa juu ya shutuma alizoelekeza kwa Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally kwa kitendo cha kumuita kupitia majukwaani, kada wake, Bernard Membe.

Makamba akihojiwa na Mwananchi ameunga mkono utaratibu uliotumiwa na Mhadhiri huyo wa zamani wa UDSM na kudai Bashiru ni mtendaji mkuu wa Chama anayewakilisha Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu, hivyo ana mamlaka ya kumuita mwanachama yeyote hata ikiwa hadharani.

Makamba alisema kuwa, hata yeye alipokuwa Katibu Mkuu alikuwa akiwaita wabachama wake vivyo hivyo na kwamba aliwahi kuitwa na Viongozi wa TANU. "Mimi niliwahi kuitwa na (John) Mhavile, nilikuwa Mkuu wa Wilaya ya Tanga. Mhavile alikuwa Katibu Mtendaji wa TANU, yalitokea maneno pale Tanga nikaambiwa njoo, tena si kwa simu. Niliwahi kuitwa na (Balozi Daudi) Mwakawago. Kwa hiyo haya mambo si kwamba ni ya jana."

Mzee Makamba alisema kuwa hata yeye aliwahi kuitwa na Msekwa: "Niliwahi kuitwa na Msekwa kwamba njoo Dodoma na nikaenda. Kwa hiyo ni utaratibu haukuanza jana."

"Kwa hiyo kuitwa na wakubwa ni jambo la kawaida, msiwaonee kwa njia waliyotumia. Kubwa Katibu Mkuu yuko sahihi."

View attachment 956432
Makamba angekosoa saiz ungemtukana mzee wa watu hadi basi.. We jamaa bwana
 
Kumjibu mzee makamba ni kuwa wakati akiitwa hivyo alikuwa mtu mdogo sana hakuwa hadhi ya Membe lakini kikubwa zaidi anachotakiwa kujua ni kuwa Two wrongs don't make a right.HAUFAI huo utaratibu hata uwe ulitumika zamani haukuwa Sawa

Ni utaratibu wa kipuuzi
 
IMG_0314.JPG


Katibu Mkuu wa zamani, Yusuf Makamba amemkosoa kada wa CCM, Bernard Membe kwa kitendo chake cha kutoa masharti dhidi ya wito kwake kutoka kwa Katibu Mkuu, Dk. Bashiru Ally.

Mzee Makamba akizungumza hayo jana alisema kuwa, kasoro iliyofanyika katika wito wa Katibu Mkuu wa CCM kwenda kwa Membe ni kitendo cha Membe kutoa masharti. "Katibu Mkuu anao uhuru wa kumuita mwanachama atakavyo. Watu hawawezi kumpangia Katibu Mkuu namna ya kuita mtu. Mtu ukiitwa na kuitika ndiyo nidhamu.

Makamba alisema kuwa katika maandiko matakatifu, wanadamu hutakiwa kutii mamlaka na hivyo naye alitii agizo alilopewa na (John) Mhavile na kwenda kuonana naye Lumumba wakazungumza na kuyamaliza. "Tunaambiwa tiini mamlaka kwa kila jambo. Hakuna sababu ya kuhojihoji. Hivyo naye hatakiwi kuweka masharti. Kwa kweli ngoja na sisi wengine tuseme - ni kwamba kuitana ni kawaida."

IMG_0312.JPG
 
Back
Top Bottom