BABA DALLU
New Member
- Jan 6, 2011
- 1
- 0
hii inadhihirisha kuwa huyu makamba kazeeka na akijui chama vizuri na ni mnafki tu,badala ya kulilia maafa analilia mali za chama si upumbavu huu jamani?
anatumia biblia kwa sababu ni rahisi kwa chadema kuelewa, si umeona hata wote walioshitakiwa ni waumini zaidi wa kitabu hicho
Hapana, anatumia biblia kwa kuwa angetumia quran angelazimika kuunga mkono mauaji, kwani quran inalazimisha mauajianatumia biblia kwa sababu ni rahisi kwa chadema kuelewa, si umeona hata wote walioshitakiwa ni waumini zaidi wa kitabu hicho
atuambie pia Biblia inatuambia nini kwa Mwalimu wa shule ya Msingi ambaye anakutwa na tuhuma za kubaka au kulawiti mwanafunzi.....
Hapana, anatumia biblia kwa kuwa angetumia quran angelazimika kuunga mkono mauaji, kwani quran inalazimisha mauaji
Kwani nchi inatawaliwa na Biblia? Huyu mzee hovyo kabisa.
Makamba atumia Biblia kuwalaani Chadema Thursday, 06 January 2011 20:50 0diggsdigg
Mwandishi Wetu
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba amekilaumu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kile alichoeleza kuwa kimekaidi amri ya mamlaka halali na kufanya maandamano yaliyoleta vurugu na maafa.
Akizungumza na gazeti hii jana, Makamba alisema kitendo kilichofanywa na Chadema ni cha kinyama na kinapaswa kulaaniwa na watu wote wanaoitakia mema nchi hii Ukisoma Biblia katika kitabu cha Warumi Sura 13, imeandikwa " Itiini Mamlaka inayowazidi nguvu; hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu," alisena Makamba na kuaongeza: "Sasa mamlaka imesema msiandamane, ninyi mnaandamana.
Nasema hawakufanya vizuri. Sasa tumlaumu nani kama sio Chadema." Makamba alisema haoni sababu Chadema kuandamana kwa sababu ya suala la Umeya, kwani kama hilo ndio sababu, alipaswa kwenda mahamani kudai haki wanayoeleza kuwa imeporwa na CCM badala ya kufanya maandamano yenye madhara kama hayo.
"Kama hoja ni umeya, huwezi kudai unayoamini imeporwa kwa maandamano, haki inapatikana mahakamani.
Sasa Mimi (Makamba) nawapa pole walioathirika na maandamano hayo lakini pia nalilia mali za CCM zilizoharibiwa. Gari la katibu wangu wa Mkoa limevunja vioo na ofisi yetu imeharibiwa vibaya," alisema Makamba mwisho
Source:Mwananchi
Huyu mzee kalaaniwa watu wamepoteza maisha yeye anasikitikia mali zilizoharibika.Upuuzi tu.
Makamba atumia Biblia kuwalaani Chadema Thursday, 06 January 2011 20:50 0diggsdigg
Mwandishi Wetu
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba amekilaumu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kile alichoeleza kuwa kimekaidi amri ya mamlaka halali na kufanya maandamano yaliyoleta vurugu na maafa.
Akizungumza na gazeti hii jana, Makamba alisema kitendo kilichofanywa na Chadema ni cha kinyama na kinapaswa kulaaniwa na watu wote wanaoitakia mema nchi hii "Ukisoma Biblia katika kitabu cha Warumi Sura 13, imeandikwa " Itiini Mamlaka inayowazidi nguvu; hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu," alisena Makamba na kuaongeza: "Sasa mamlaka imesema msiandamane, ninyi mnaandamana.
Nasema hawakufanya vizuri. Sasa tumlaumu nani kama sio Chadema." Makamba alisema haoni sababu Chadema kuandamana kwa sababu ya suala la Umeya, kwani kama hilo ndio sababu, alipaswa kwenda mahamani kudai haki wanayoeleza kuwa imeporwa na CCM badala ya kufanya maandamano yenye madhara kama hayo.
"Kama hoja ni umeya, huwezi kudai unayoamini imeporwa kwa maandamano, haki inapatikana mahakamani.
Sasa Mimi (Makamba) nawapa pole walioathirika na maandamano hayo lakini pia nalilia mali za CCM zilizoharibiwa. Gari la katibu wangu wa Mkoa limevunja vioo na ofisi yetu imeharibiwa vibaya," alisema Makamba mwisho
Source:Mwananchi
Huyu mzee kalaaniwa watu wamepoteza maisha yeye anasikitikia mali zilizoharibika.Upuuzi tu.
Ishara nyingine kuwa Udini Tanzania unatokea katika uongozi wa juu wa chama tawala.
1) Matumizi ya imani ya Utatu huko Sumbawanga
2)Hii tafsiri potofu ya maandishi ya Biblia
Kutokana na tafsiri ya matamshi ya Mzee Makamba, basi
a)Kupigania uhuru ilikuwa ni makosa
b)Tanzania kuunga mkono na kushiriki kuzikomboa nchi za kusini mwa Afrika ilikuwa ni makosa.
c)Sudan ya kusini wanaopiga kura ya maoni keshokutwa wanafanya makosa
d)Babu wa Mzee Mkamba waliompinga mkoloni walifanya makosa
............Ningeweza kuendelea
Ingekuwa bora kama uongozi wa juu wa CCM ungempunguzia madaraka Mzee Makamba kabla hajateleza zaidi.
Makamba atumia Biblia kuwalaani Chadema Thursday, 06 January 2011 20:50 0diggsdigg
Mwandishi Wetu
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba amekilaumu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kile alichoeleza kuwa kimekaidi amri ya mamlaka halali na kufanya maandamano yaliyoleta vurugu na maafa.
Akizungumza na gazeti hii jana, Makamba alisema kitendo kilichofanywa na Chadema ni cha kinyama na kinapaswa kulaaniwa na watu wote wanaoitakia mema nchi hii Ukisoma Biblia katika kitabu cha Warumi Sura 13, imeandikwa " Itiini Mamlaka inayowazidi nguvu; hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu," alisena Makamba na kuaongeza: "Sasa mamlaka imesema msiandamane, ninyi mnaandamana.
Nasema hawakufanya vizuri. Sasa tumlaumu nani kama sio Chadema." Makamba alisema haoni sababu Chadema kuandamana kwa sababu ya suala la Umeya, kwani kama hilo ndio sababu, alipaswa kwenda mahamani kudai haki wanayoeleza kuwa imeporwa na CCM badala ya kufanya maandamano yenye madhara kama hayo.
"Kama hoja ni umeya, huwezi kudai unayoamini imeporwa kwa maandamano, haki inapatikana mahakamani.
Sasa Mimi (Makamba) nawapa pole walioathirika na maandamano hayo lakini pia nalilia mali za CCM zilizoharibiwa. Gari la katibu wangu wa Mkoa limevunja vioo na ofisi yetu imeharibiwa vibaya," alisema Makamba mwisho
Source:Mwananchi
Huyu mzee kalaaniwa watu wamepoteza maisha yeye anasikitikia mali zilizoharibika.Upuuzi tu.
Makamba atumia Biblia kuwalaani Chadema Thursday, 06 January 2011 20:50 0diggsdigg
Mwandishi Wetu
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuph Makamba amekilaumu Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kile alichoeleza kuwa kimekaidi amri ya mamlaka halali na kufanya maandamano yaliyoleta vurugu na maafa.
Akizungumza na gazeti hii jana, Makamba alisema kitendo kilichofanywa na Chadema ni cha kinyama na kinapaswa kulaaniwa na watu wote wanaoitakia mema nchi hii Ukisoma Biblia katika kitabu cha Warumi Sura 13, imeandikwa " Itiini Mamlaka inayowazidi nguvu; hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu," alisena Makamba na kuaongeza: "Sasa mamlaka imesema msiandamane, ninyi mnaandamana.
Nasema hawakufanya vizuri. Sasa tumlaumu nani kama sio Chadema." Makamba alisema haoni sababu Chadema kuandamana kwa sababu ya suala la Umeya, kwani kama hilo ndio sababu, alipaswa kwenda mahamani kudai haki wanayoeleza kuwa imeporwa na CCM badala ya kufanya maandamano yenye madhara kama hayo.
"Kama hoja ni umeya, huwezi kudai unayoamini imeporwa kwa maandamano, haki inapatikana mahakamani.
Sasa Mimi (Makamba) nawapa pole walioathirika na maandamano hayo lakini pia nalilia mali za CCM zilizoharibiwa. Gari la katibu wangu wa Mkoa limevunja vioo na ofisi yetu imeharibiwa vibaya," alisema Makamba mwisho
Source:Mwananchi
Huyu mzee kalaaniwa watu wamepoteza maisha yeye anasikitikia mali zilizoharibika.Upuuzi tu.