Makamba apewe udaktari wa heshima!

Muasherati hawezi kuwa Dr. mbona unampa heshima kubwa.

labda udaktari bingwa wa kurepu hapo sawa maana nadhani anapenda sana ile kitu chini ya kitovu
 
Kweli una mawazo ya kiungwana. Nani anasema wanawake hawana mawazo mazuri??????? Big up dada yangu Michelle. Nampongeza sana mwanaume aliyebahatika kuwa na wewe......

safari hii mtajibeba na hizo cheap generalization na arguments ( Sitta,Salim Ahmed Salim, Mwakyembe,Magufuli,Tibaijuka na hao wote wanachama milioni ngapi wanashobokea Doctorate feki????suala la Kikwete mfano kupewa Degree ya heshima linailetea vipi nchi shida,mtu kama hana uwezo na Makamba wake msiseme wanachama wa CCM,kwani sie ndo tulimpa,si alipewa na vyuo vikuu tena kingine cha nje ya nchi?????Tunaacha kujadili DOWANS,Katiba,ufisadi unaoendelea tunaleta thread za Degree za heshima? zinatulisha sisi au kutuletea pembejeo za kilimo na madawa hospitali,kujenga barabara??? NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK,many of the CCM members do not even know that he has that doctorate.
 
Lakini jaman tuacheni utani. mambo mengine yanachefua sana. Hivi huyu Makamba analitakia nini Taifa hili???
 
Lakini jaman tuacheni utani. mambo mengine yanachefua sana. Hivi huyu Makamba analitakia nini Taifa hili???
Mtu asiye na akili nzuri. Mlafi wa mali zetu. Atakuwa na akili wapi? Bado nakumbuka kile kibwagizo kuwa "Liangalie hili punguani linatafuna mali za umma" nani anakikumbuka?
 
Ni heri kumckiliza ndege akuburudishe kuliko makamba atakukinaisha...
 
safari hii mtajibeba na hizo cheap generalization na arguments ( Sitta,Salim Ahmed Salim, Mwakyembe,Magufuli,Tibaijuka na hao wote wanachama milioni ngapi wanashobokea Doctorate feki????suala la Kikwete mfano kupewa Degree ya heshima linailetea vipi nchi shida,mtu kama hana uwezo na Makamba wake msiseme wanachama wa CCM,kwani sie ndo tulimpa,si alipewa na vyuo vikuu tena kingine cha nje ya nchi?????Tunaacha kujadili DOWANS,Katiba,ufisadi unaoendelea tunaleta thread za Degree za heshima? zinatulisha sisi au kutuletea pembejeo za kilimo na madawa hospitali,kujenga barabara??? NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK,many of the CCM members do not even know that he has that doctorate.

Hongera kwa hoja nzito na makini iliyojaa busara na hekima, na mwona mbali hivyo kwa idhini ya Invisible nakutunukia Phd ya heshima ya JF
 
safari hii mtajibeba na hizo cheap generalization na arguments ( Sitta,Salim Ahmed Salim, Mwakyembe,Magufuli,Tibaijuka na hao wote wanachama milioni ngapi wanashobokea Doctorate feki????suala la Kikwete mfano kupewa Degree ya heshima linailetea vipi nchi shida,mtu kama hana uwezo na Makamba wake msiseme wanachama wa CCM,kwani sie ndo tulimpa,si alipewa na vyuo vikuu tena kingine cha nje ya nchi?????Tunaacha kujadili DOWANS,Katiba,ufisadi unaoendelea tunaleta thread za Degree za heshima? zinatulisha sisi au kutuletea pembejeo za kilimo na madawa hospitali,kujenga barabara??? NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK,many of the CCM members do not even know that he has that doctorate.

na wewe michelle nakutunuku degree ya udaktari wa heshima toka yusuphu makamba university of kubwabwaja
 
Back
Top Bottom