Makamba aja na kitabu "Cha kale Ni dhahabu"

Makamba aja na kitabu "Cha kale Ni dhahabu"

Ebhanaeeee 🔥🔥🔥🔥🔥 hadi jinsi ya kuchagua mke 😆😆
Akatoa sababu kadhaa ya kwanza uzuri wa sura ya pili dini akasema ukioa mwanamke asiye na maadili ya dini kasema hata watoto wako hawawezi kuwa na maadili mema 😊 so tuoe wanawake wanye kufuata misingi ya dini
 
Hakuna cha maana kwenye hicho kitabu
Mkuu kiagata umekisoma?? au umefanya general assumption... for sure hapa duniani ni kua hakuna mtu mjinga kiasi usijifunze chochote kutoka kwake
vitabu hutusaidia kujifunza na kuto kurudia makosa yasiyo na ulazima period
 
View attachment 2998460
View attachment 2998461

"Niwakati tulipokuwa mafunzoni Monduli Machi, 1976 hadi Januari, 1977 ndipo nilipomfahamu vizuri Yusufu Rajabu Makamba na tukawa marafiki tangu wakati huo mpaka sasa. Nikatokea kuutambua vizuri uwezo wake wa uongozi. Nilivibaini vipaji vyake adimu vya kuhamasisha, kuunganisha watu, kujieleza na ubunifu. Pia moyo wake wa kujituma, kutokata tamaa na uhodari wa kazi. Ndiyo maana nilipokuwa Rais nilimteua kuwa Mkuu wa Mkoa na Mbunge na nilipokuwa Mwenyekiti wa CCM nilimteua kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi.”

—Dkt. Jakaya M. Kikwete, Rais wa Awamu ya Nne wa Tanzania

Kuhusu Mwandishi:

Mwandishi wa kitabu hiki, Yussuf Rajabu Makamba, ni mkulima na mfugaji. Amewahi kuwa Mbunge, Katibu Mkuu wa CCM, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, na ni Afisa Mstaafu wa JWTZ. Amewahi pia kuwa Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Kigoma na Dar Es Salaam, Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani na Mjumbe wa Baraza la Michezo la Taifa.

Mwandishi ameandika vitabu vingi ikiwemo ‘Methali, Semi na Vitendawili vya Kisambaa

Wakuu kinapatikana mkuki na nyota @15,000/=

Wapenzi wa vitabu mkipata muda tusome kitabu Cha mzee wetu Yusuf makamba.

Wasalaam
Kumbe alitoa kitabu!?pole yake!!kibongo bongo ukiona hiyo ujue zimekaribia!!
 
View attachment 2998460
View attachment 2998461

"Niwakati tulipokuwa mafunzoni Monduli Machi, 1976 hadi Januari, 1977 ndipo nilipomfahamu vizuri Yusufu Rajabu Makamba na tukawa marafiki tangu wakati huo mpaka sasa. Nikatokea kuutambua vizuri uwezo wake wa uongozi. Nilivibaini vipaji vyake adimu vya kuhamasisha, kuunganisha watu, kujieleza na ubunifu. Pia moyo wake wa kujituma, kutokata tamaa na uhodari wa kazi. Ndiyo maana nilipokuwa Rais nilimteua kuwa Mkuu wa Mkoa na Mbunge na nilipokuwa Mwenyekiti wa CCM nilimteua kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi.”

—Dkt. Jakaya M. Kikwete, Rais wa Awamu ya Nne wa Tanzania

Kuhusu Mwandishi:

Mwandishi wa kitabu hiki, Yussuf Rajabu Makamba, ni mkulima na mfugaji. Amewahi kuwa Mbunge, Katibu Mkuu wa CCM, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, na ni Afisa Mstaafu wa JWTZ. Amewahi pia kuwa Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Kigoma na Dar Es Salaam, Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani na Mjumbe wa Baraza la Michezo la Taifa.

Mwandishi ameandika vitabu vingi ikiwemo ‘Methali, Semi na Vitendawili vya Kisambaa

Wakuu kinapatikana mkuki na nyota @15,000/=

Wapenzi wa vitabu mkipata muda tusome kitabu Cha mzee wetu Yusuf makamba.

Wasalaam
Wewe ni muongo makamba soyo mkulima
 
View attachment 2998460
View attachment 2998461

"Niwakati tulipokuwa mafunzoni Monduli Machi, 1976 hadi Januari, 1977 ndipo nilipomfahamu vizuri Yusufu Rajabu Makamba na tukawa marafiki tangu wakati huo mpaka sasa. Nikatokea kuutambua vizuri uwezo wake wa uongozi. Nilivibaini vipaji vyake adimu vya kuhamasisha, kuunganisha watu, kujieleza na ubunifu. Pia moyo wake wa kujituma, kutokata tamaa na uhodari wa kazi. Ndiyo maana nilipokuwa Rais nilimteua kuwa Mkuu wa Mkoa na Mbunge na nilipokuwa Mwenyekiti wa CCM nilimteua kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi.”

—Dkt. Jakaya M. Kikwete, Rais wa Awamu ya Nne wa Tanzania

Kuhusu Mwandishi:

Mwandishi wa kitabu hiki, Yussuf Rajabu Makamba, ni mkulima na mfugaji. Amewahi kuwa Mbunge, Katibu Mkuu wa CCM, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, na ni Afisa Mstaafu wa JWTZ. Amewahi pia kuwa Mkuu wa Wilaya, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Kigoma na Dar Es Salaam, Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani na Mjumbe wa Baraza la Michezo la Taifa.

Mwandishi ameandika vitabu vingi ikiwemo ‘Methali, Semi na Vitendawili vya Kisambaa

Wakuu kinapatikana mkuki na nyota @15,000/=

Wapenzi wa vitabu mkipata muda tusome kitabu Cha mzee wetu Yusuf makamba.

Wasalaam

Ilikuwaje hii habari nikaipata Leo wakati ni yamwaka Jana?
 
Back
Top Bottom