Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Nashangaa sana makamanda wenzangu mnamshambulia Wilson Mahera wa NEC kwa kitendo cha kumuita Mgombea wetu kwa kamati ya madili ya taifa.
Je, hamjui kuwa NEC inasimamia uchaguzi ili Watanzania wapate maendeleo? Hamjui aliposema Watanzaia wanahitaji barabara, sekta ya afya iliyoimalika, sekta ya elimu iliyoimalika na miundo mbinu iliyoimalika. Haya ni maendeleo ya wananchi.
Sasa kama mgombea wetu akisimama jukwaani kazi yake ni kutoa tuhuma za JPM kutokuwa na cheti cha kuzaliwa, kupigwa risasi, ufisadi wa uwanja wa ndege Chato, ufisadi wa ununuzi ndege Atcl n.k. Je, hizi ni sera za kuwaletea maendeleo wananchi?
Tuwe wakweli mgombea wetu anatakiwa ajirekebishe sana. Kama anataka urais aseme atatufanyia nini watanzania sio kutuhumu wagombea wenzake.
Je, hizi tuhuma anazozitoa ataweza kuzithibitisha?
Je, hamjui kuwa NEC inasimamia uchaguzi ili Watanzania wapate maendeleo? Hamjui aliposema Watanzaia wanahitaji barabara, sekta ya afya iliyoimalika, sekta ya elimu iliyoimalika na miundo mbinu iliyoimalika. Haya ni maendeleo ya wananchi.
Sasa kama mgombea wetu akisimama jukwaani kazi yake ni kutoa tuhuma za JPM kutokuwa na cheti cha kuzaliwa, kupigwa risasi, ufisadi wa uwanja wa ndege Chato, ufisadi wa ununuzi ndege Atcl n.k. Je, hizi ni sera za kuwaletea maendeleo wananchi?
Tuwe wakweli mgombea wetu anatakiwa ajirekebishe sana. Kama anataka urais aseme atatufanyia nini watanzania sio kutuhumu wagombea wenzake.
Je, hizi tuhuma anazozitoa ataweza kuzithibitisha?