Ni ukweli usiopingika ya kuwa madhumuni ya Chama chochote cha siasa ni kuchukua dola.
Chadema imekuwepo takribani miaka 30 iliyopita pamajo na uwepo wa vyama vingine vikubwa kama vile ACT.
Chadema wamekuwa wanatumia njia mbalimbali kujaribu kushika dola, na waliwahi kufanikiwa japo kidogo kwenye medani za siasa za Tanzania pale ambapo aliyekuwa Mwenyekiti cha Chama na Kiongozi aliyekuwa na mvuto( Mzee Mbowe) alipoamua kwa maslahi mapana ya chama kukodi mgombea wa urais toka chama tawala(CCM) aliekuwa na mvuto marehemu Edward Lowassa.
Hata hivyo, mtazamo wa chama umebadilika kutoka kutumia watu wenye mvuto kwa jamii na badala yake wameamua kujikita kutumia watu ambao kwa mtazamo wao wanaona mvuto, mvuto ambao kimsing ni wa kwenye mitandao hususani wafuatao: Bibi Maria Sarungi( Kenya), Kibibi Hilda(Kenya) , Bibi Kimange( USA), NARUVAZ 90( GERMAN), Ester Mayemba( Kenya) na Mzee Lema kupitia maandiko ya kada Malisa na kijana mchachari bila madhara ( Twaha Mwaipaya).
Si kosa kutumia mitandao kujaribu kuvutia kizazi ambacho ni rahis kudanganyika ambacho kimekuwa kinaadiwa maisha ya kula bata kupitia maadiko ya niliwataja hapo juu na haswa Mzee Lema ambae cha kushangaza anahahidi vijana ambao uwezo wa kufikiri ni mdogo maisha ya ajabu wakati huo huo huyu jamaa alikuwa ansaidiwa posho ya kula na Mheshimiwa wetu .
Kwa kumalizia niseme tu kuwa Chadema msibobadilika mikakati yenu kama chama haijengi chama bali inapata wanachama ambao kwa jamii wapo ingawaje ni wachache sana( wanaharakati).
Tunayo nchi Moja tu nayo ni Tanzania .
Chadema imekuwepo takribani miaka 30 iliyopita pamajo na uwepo wa vyama vingine vikubwa kama vile ACT.
Chadema wamekuwa wanatumia njia mbalimbali kujaribu kushika dola, na waliwahi kufanikiwa japo kidogo kwenye medani za siasa za Tanzania pale ambapo aliyekuwa Mwenyekiti cha Chama na Kiongozi aliyekuwa na mvuto( Mzee Mbowe) alipoamua kwa maslahi mapana ya chama kukodi mgombea wa urais toka chama tawala(CCM) aliekuwa na mvuto marehemu Edward Lowassa.
Hata hivyo, mtazamo wa chama umebadilika kutoka kutumia watu wenye mvuto kwa jamii na badala yake wameamua kujikita kutumia watu ambao kwa mtazamo wao wanaona mvuto, mvuto ambao kimsing ni wa kwenye mitandao hususani wafuatao: Bibi Maria Sarungi( Kenya), Kibibi Hilda(Kenya) , Bibi Kimange( USA), NARUVAZ 90( GERMAN), Ester Mayemba( Kenya) na Mzee Lema kupitia maandiko ya kada Malisa na kijana mchachari bila madhara ( Twaha Mwaipaya).
Si kosa kutumia mitandao kujaribu kuvutia kizazi ambacho ni rahis kudanganyika ambacho kimekuwa kinaadiwa maisha ya kula bata kupitia maadiko ya niliwataja hapo juu na haswa Mzee Lema ambae cha kushangaza anahahidi vijana ambao uwezo wa kufikiri ni mdogo maisha ya ajabu wakati huo huo huyu jamaa alikuwa ansaidiwa posho ya kula na Mheshimiwa wetu .
Kwa kumalizia niseme tu kuwa Chadema msibobadilika mikakati yenu kama chama haijengi chama bali inapata wanachama ambao kwa jamii wapo ingawaje ni wachache sana( wanaharakati).
Tunayo nchi Moja tu nayo ni Tanzania .