Makamanda nguvu zimewaishia kabisa

Makamanda nguvu zimewaishia kabisa

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
20,142
Reaction score
24,432
Makamanda wanatamani kumlisha maneno lissu ili aseme yale wanayoyawaza wao vichwani mwao kuhusu watu waliomjeruhi kwa risasi,

makamanda nguvu zimewaishia kabisa waliposikia muhanga hawajui waliomjeruhi kwa risasi wakati wao zana yao ilikua fulani,
mpaka muda huu wamebaki kubadili maelezo aliyatoa lissu ya kumpatia salama makamu wa rais amfikishie rais
pia wanakataa kuwa hakusema hivyo

Sasa hii ni albadir maneno aseme lissu kwa akili zake leo makamanda wanasema siyo yale,
walitegemea lissu atakua siyo muungwana aanze kumshambulia rais kama wanavyohisi

Ukichanganya na huu msongo wa kupata kata moja makamanda nguvu zimekwisha kabisa!

Poleni makamanda ndio siasa katikati ya wanasiasa msiishi kwa zana na chuki!
 
Makamanda wanatamani kumlisha maneno lissu ili aseme yale wanayoyawaza wao vichwani mwao kuhusu watu waliomjeruhi kwa risasi,

makamanda nguvu zimewaishia kabisa waliposikia muhanga hawajui waliomjeruhi kwa risasi wakati wao zana yao ilikua fulani,
mpaka muda huu wamebaki kubadili maelezo aliyatoa lissu ya kumpatia salama makamu wa rais amfikishie rais
pia wanakataa kuwa hakusema hivyo

Sasa hii ni albadir maneno aseme lissu kwa akili zake leo makamanda wanasema siyo yale,
walitegemea lissu atakua siyo muungwana aanze kumshambulia rais kama wanavyohisi

Ukichanganya na huu msongo wa kupata kata moja makamanda nguvu zimekwisha kabisa!

Poleni makamanda ndio siasa katikati ya wanasiasa msiishi kwa zana na chuki!
Screenshot_2017-11-29-22-34-28-1.png
 
Makamanda wanatamani kumlisha maneno lissu ili aseme yale wanayoyawaza wao vichwani mwao kuhusu watu waliomjeruhi kwa risasi,

makamanda nguvu zimewaishia kabisa waliposikia muhanga hawajui waliomjeruhi kwa risasi wakati wao zana yao ilikua fulani,
mpaka muda huu wamebaki kubadili maelezo aliyatoa lissu ya kumpatia salama makamu wa rais amfikishie rais
pia wanakataa kuwa hakusema hivyo

Sasa hii ni albadir maneno aseme lissu kwa akili zake leo makamanda wanasema siyo yale,
walitegemea lissu atakua siyo muungwana aanze kumshambulia rais kama wanavyohisi

Ukichanganya na huu msongo wa kupata kata moja makamanda nguvu zimekwisha kabisa!

Poleni makamanda ndio siasa katikati ya wanasiasa msiishi kwa zana na chuki!
Weeeeeeee polisi walivyo jeruhi raia vile unadhan watakuwa na nguvu itoke wapi huku polisi wanawakamata huku greenguard wana washambulia na mapanga na kuwateka ?? Ngoja wawatibu majeruhi kwanz maan ile ilikuwa vita sio uchaguzi
 
Kuambulia kata moja hakika kumewanyong'oneza
Kwa majeraha waliyo yapatankupigwa na polisi na green guard namna ile unadhan wafanyeje sasa , ? Hakika polisi wamefanya kazi sana awamu hii ya uchaguzi nadhan lkuliko hata greenguard wenyewe wwnye chama.
 
Back
Top Bottom