Makamanda: Kumbe CCM ni wepesi kiasi hiki!

Makamanda: Kumbe CCM ni wepesi kiasi hiki!

TheDealer

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2012
Posts
2,424
Reaction score
1,132
Nimebaini hili kwenye uchaguzi huu. Ukweli ni kwamba CCM ni wepesi sana. Wanashinda kwa margin ndogo ndogo sana. Wanashinda kwa mbinu za tuhesabu tena kura!

Ukweli wakitaitiwa vizuri wanaishiwa pumzi mapema sana na kuachia. Pale walipotaitiwa waliachia mapema sana! Mdee kawatait, Mnyika kawatait, Msigwa kawatait sana, Kubenewa kawatait, na wengine wengi huko Kilwa kusini na Kilwa Kaskazini!

Next time 2020 tujifunze kuwatait kisawasawa. Ni wepesi mno hawa magamba!
 
Mkuu umenipa Raha asubuhi hii ni kweli kabisa Ccm wepesi sana.ukishasikia sehemu wanasema turudie kuhesabu ujue kuna kitu.ndio maana wamemkalia kooni Kafulila warudie kuhesabu ili wafanye yao sasa pale yamewakuta. kubenea aliwakatalia kurudia kuhesabu kura na ndipo akapita vinginevo alikuwa anaenda kuchakachuliwa
 
Ni wepesi eh? Muulize mchezaji wenu pampas anavyogaragazwa pamoja na kampeni za miaka 5 makanisani, support ya vyama 4,fedha mabilioni, na maelfu ya nyumbu nyuma yake.
 
Mkuu umenipa Raha asubuhi hii ni kweli kabisa Ccm wepesi sana.ukishasikia sehemu wanasema turudie kuhesabu ujue kuna kitu.ndio maana wamemkalia kooni Kafulila warudie kuhesabu ili wafanye yao sasa pale yamewakuta. kubenea aliwakatalia kurudia kuhesabu kura na ndipo akapita vinginevo alikuwa anaenda kuchakachuliwa

teh teh. Yaani kama wapiga kura wakikupa kura, na ukawa na mawakala wazuri, nawe ukomaa nao vizuri sana jamaa hawachomoi hata kidogo! wanalegea mapema sana!
 
Sitaki kuwalaumu. Ila tulishauri sana suala la kulinda na kutight mbinu za ccm. Mimi nliandika makala zaidi ya tano. Hata kuwa pro-active. Mfano makamba aliwawahi kwenye media na kuaminisha watu magufuli anashinda( ili wakichakachua watu wasiwastukie) ukawa wakawa wamelala tu. Maalim seif ndo anawajua ccm ukicheka nao wanakichakachua kweli. Kuachia madaraka si mchezo. Naona lowasa nae mpole sana hapachimbi kabisa. Na huu upole ni tangu kukatwa ccm. Anacheka na mkwere. Mkwere anakuchekea huku anakuumiza. Ukawa wangekua makini wangeshinda majimbo zaidi ya 160 ukichanganya na zanzibar. Way foward ni kwanza lowasa kiacha upole na kupachimba sawa sawa. Kuishinikiza tume iache kutangaza matokeo ya kisanii ambayo ukijumlisha unapata asilimia 115, sehemu nyingine matokeo yanaonesha wapiga kura wote walijiandikisha wamepiga kura. Waache mara moja ili solution ipatikane. La sivyo kinuke tu
 
hao wamezoea kuiba so ukiwaambia kurudia kuhesabu ujue ndo hawana chao tena hapo
 
Nimebaini hili kwenye uchaguzi huu. Ukweli ni kwamba CCM ni wepesi sana. Wanashinda kwa margin ndogo ndogo sana. Wanashinda kwa mbinu za tuhesabu tena kura!

Ukweli wakitaitiwa vizuri wanaishiwa pumzi mapema sana na kuachia. Pale walipotaitiwa waliachia mapema sana! Mdee kawatait, Mnyika kawatait, Msigwa kawatait sana, Kubenewa kawatait, na wengine wengi huko Kilwa kusini na Kilwa Kaskazini!

Next time 2020 tujifunze kuwatait kisawasawa. Ni wepesi mno hawa magamba!

Hahahaaaa, kauli zimeanza kubadilika! Sasa ni 2020 sio?
 
Ni wepesi eh? Muulize mchezaji wenu pampas anavyogaragazwa pamoja na kampeni za miaka 5 makanisani, support ya vyama 4,fedha mabilioni, na maelfu ya nyumbu nyuma yake.

haya: Lowassa aliahidi elimu bure na bora hadi chuo kikuu. Aliahidi ajira kwa vijana. Aliahidi huduma nzuri za afya! Well, umemmnyima kura ili kumkomoa?????

Lowassa alishatusua maisha kitambo sana, hana shida na hela tena! Sasa wewe kidampa ndio unahangaikia mlo mmoja, huduma za afya, huna mbele wala nyuma! ptuuuu kweli jingalao wewe! Imekula kwako!
 
Last edited by a moderator:
Sitaki kuwalaumu. Ila tulishauri sana suala la kulinda na kutight mbinu za ccm. Mimi nliandika makala zaidi ya tano. Hata kuwa pro-active. Mfano makamba aliwawahi kwenye media na kuaminisha watu magufuli anashinda( ili wakichakachua watu wasiwastukie) ukawa wakawa wamelala tu. Maalim seif ndo anawajua ccm ukicheka nao wanakichakachua kweli. Kuachia madaraka si mchezo. Naona lowasa nae mpole sana hapachimbi kabisa. Na huu upole ni tangu kukatwa ccm. Anacheka na mkwere. Mkwere anakuchekea huku anakuumiza. Ukawa wangekua makini wangeshinda majimbo zaidi ya 160 ukichanganya na zanzibar. Way foward ni kwanza lowasa kiacha upole na kupachimba sawa sawa. Kuishinikiza tume iache kutangaza matokeo ya kisanii ambayo ukijumlisha unapata asilimia 115, sehemu nyingine matokeo yanaonesha wapiga kura wote walijiandikisha wamepiga kura. Waache mara moja ili solution ipatikane. La sivyo kinuke tu

Leo unamwaga madini sana!
 
Mkuu umenipa Raha asubuhi hii ni kweli kabisa Ccm wepesi sana.ukishasikia sehemu wanasema turudie kuhesabu ujue kuna kitu.ndio maana wamemkalia kooni Kafulila warudie kuhesabu ili wafanye yao sasa pale yamewakuta. kubenea aliwakatalia kurudia kuhesabu kura na ndipo akapita vinginevo alikuwa anaenda kuchakachuliwa

hivi kafulila nae matokeo yake yakoje mkuu?
 
Kutait muhimu sana. Rejea mabomu ya temeke na kinondoni hatimaye miamba imeporomoka
 
Nimebaini hili kwenye uchaguzi huu. Ukweli ni kwamba CCM ni wepesi sana. Wanashinda kwa margin ndogo ndogo sana. Wanashinda kwa mbinu za tuhesabu tena kura!

Ukweli wakitaitiwa vizuri wanaishiwa pumzi mapema sana na kuachia. Pale walipotaitiwa waliachia mapema sana! Mdee kawatait, Mnyika kawatait, Msigwa kawatait sana, Kubenewa kawatait, na wengine wengi huko Kilwa kusini na Kilwa Kaskazini!

Next time 2020 tujifunze kuwatait kisawasawa. Ni wepesi mno hawa magamba!

Ndo maana ACT Tunakuja kuwashikeni!
 
Hawataki kutangaza. Amemzidi ccm kwa kura kama 2400 hivi.lkn mgombea wa ccm amekataa anataka warudie kuhesabu kura


Duu,hapo kafulila inatakiwa akomae mbaya,la sivyo hawa jamaa wanampiga chini,ikiwezekana hata wanaukawa wenzake walioshinda waende wakamsaidie,haya majamaa ni majizi sana,kukubalika hawakubaliki wanabaki kulazimisha tu
 
Nimebaini hili kwenye uchaguzi huu. Ukweli ni kwamba CCM ni wepesi sana. Wanashinda kwa margin ndogo ndogo sana. Wanashinda kwa mbinu za tuhesabu tena kura!

Ukweli wakitaitiwa vizuri wanaishiwa pumzi mapema sana na kuachia. Pale walipotaitiwa waliachia mapema sana! Mdee kawatait, Mnyika kawatait, Msigwa kawatait sana, Kubenewa kawatait, na wengine wengi huko Kilwa kusini na Kilwa Kaskazini!

Next time 2020 tujifunze kuwatait kisawasawa. Ni wepesi mno hawa magamba!

Ukiacha baadhi ya majimbo ya mkoa wa Arusha na pia baadhi katika mkoa wa Kiimanjaro kwa maeneo mengine UKAWA wameshinda pia kwa margin ndogo sana. Mwaka 2020 CCM haitafanya makosa yaliyofanyika katika kipindi cha miaka mitano hivi iliyopita.
 
Yaani nguvu yote mliyotumia UKAWA kumbe ni maandalizi ya 2020? lol...
 
Sitaki kuwalaumu. Ila tulishauri sana suala la kulinda na kutight mbinu za ccm. Mimi nliandika makala zaidi ya tano. Hata kuwa pro-active. Mfano makamba aliwawahi kwenye media na kuaminisha watu magufuli anashinda( ili wakichakachua watu wasiwastukie) ukawa wakawa wamelala tu. Maalim seif ndo anawajua ccm ukicheka nao wanakichakachua kweli. Kuachia madaraka si mchezo. Naona lowasa nae mpole sana hapachimbi kabisa. Na huu upole ni tangu kukatwa ccm. Anacheka na mkwere. Mkwere anakuchekea huku anakuumiza. Ukawa wangekua makini wangeshinda majimbo zaidi ya 160 ukichanganya na zanzibar. Way foward ni kwanza lowasa kiacha upole na kupachimba sawa sawa. Kuishinikiza tume iache kutangaza matokeo ya kisanii ambayo ukijumlisha unapata asilimia 115, sehemu nyingine matokeo yanaonesha wapiga kura wote walijiandikisha wamepiga kura. Waache mara moja ili solution ipatikane. La sivyo kinuke tu

mkuu kinuke kwa kuwa umejificha nyuma ya keyboard jitokeze basi uwe frontlime kulianzisha.
 
Back
Top Bottom