Makamanda: Kumbe CCM ni wepesi kiasi hiki!

Makamanda: Kumbe CCM ni wepesi kiasi hiki!

Ni wepesi eh? Muulize mchezaji wenu pampas anavyogaragazwa pamoja na kampeni za miaka 5 makanisani, support ya vyama 4,fedha mabilioni, na maelfu ya nyumbu nyuma yake.

ImageUploadedByJamiiForums1446009043.537759.jpg
Amegaragazwa
 
Hawataki kutangaza. Amemzidi ccm kwa kura kama 2400 hivi.lkn mgombea wa ccm amekataa anataka warudie kuhesabu kura

Asikubali katu wanatumia mbinu ya kurudia kumbe wameshatia za kwao mle. Usirogwe kabisa kurudia kamwe . mijizi sana hiyo. Fuatilua ona lori limekamatwa na shehena ya kura wanadai eti mahindi. Ccm ccm mmekula maharage ya wapi??
 
nikweli CCM mnawaweza ndio maana mumeungana ili muwatoe ila chama kimoja kimoja cdm au cuf haeakiwezi ccm kamwe.
 
Nimebaini hili kwenye uchaguzi huu. Ukweli ni kwamba CCM ni wepesi sana. Wanashinda kwa margin ndogo ndogo sana. Wanashinda kwa mbinu za tuhesabu tena kura!

Ukweli wakitaitiwa vizuri wanaishiwa pumzi mapema sana na kuachia. Pale walipotaitiwa waliachia mapema sana! Mdee kawatait, Mnyika kawatait, Msigwa kawatait sana, Kubenewa kawatait, na wengine wengi huko Kilwa kusini na Kilwa Kaskazini!

Next time 2020 tujifunze kuwatait kisawasawa. Ni wepesi mno hawa magamba!
Huwa husomi. Mpaka sasa ccm inaongoza majimbo mengi. Wepesi wa ccm uko wp? Pressure inawapanda na kushuka
 
haya: Lowassa aliahidi elimu bure na bora hadi chuo kikuu. Aliahidi ajira kwa vijana. Aliahidi huduma nzuri za afya! Well, umemmnyima kura ili kumkomoa?????

Lowassa alishatusua maisha kitambo sana, hana shida na hela tena! Sasa wewe kidampa ndio unahangaikia mlo mmoja, huduma za afya, huna mbele wala nyuma! ptuuuu kweli jingalao wewe! Imekula kwako!

Wagogo wa Dodoma maskini wa kutupwa wamempa CCM majimbo na kata zote kwa lengo la kumkomoa Lowasa kumbe wanajikomoa wenyewe.
 
Last edited by a moderator:
UKAWA acheni ngebe kwani:-
- LA KUVUNDA HALINA UBANI.
- MFA MAJI HAACHI KUTAPATAPA.
- USIACHE MBACHAO KWA MSALA UPITAO.
- ASIESIKIA LA MKUU HUVUNJIKA GUU.
- HASIRA HASARA.
Wakereketwa endeleeni kuwapasha hawa na kuwaelimisha ipasavyo.
 
Ila hawa ccm ni majizi Sana, yameingiza Kura feki na kuchakachua matokeo! Yana roho za kichawi....
 
Nilimuona na kumsikia Tyson akilialia kwa kulalamikia matokea-jamaa hawa wepesi zaidi ya mlevi. Hata mzee wa aliselema mambo yanazidi kubana tu sijui kufikia jioni leo atakuwa na hali gani
 
Nimebaini hili kwenye uchaguzi huu. Ukweli ni kwamba CCM ni wepesi sana. Wanashinda kwa margin ndogo ndogo sana. Wanashinda kwa mbinu za tuhesabu tena kura!Ukweli wakitaitiwa vizuri wanaishiwa pumzi mapema sana na kuachia. Pale walipotaitiwa waliachia mapema sana! Mdee kawatait, Mnyika kawatait, Msigwa kawatait sana, Kubenewa kawatait, na wengine wengi huko Kilwa kusini na Kilwa Kaskazini!hamna jipya ccm mbele kwa mbeleNext time 2020 tujifunze kuwatait kisawasawa. Ni wepesi mno hawa magamba![/SIZE][/QUOTE]
 
haya: Lowassa aliahidi elimu bure na bora hadi chuo kikuu. Aliahidi ajira kwa vijana. Aliahidi huduma nzuri za afya! Well, umemmnyima kura ili kumkomoa?????

Lowassa alishatusua maisha kitambo sana, hana shida na hela tena! Sasa wewe kidampa ndio unahangaikia mlo mmoja, huduma za afya, huna mbele wala nyuma! ptuuuu kweli jingalao wewe! Imekula kwako!

Bora umemwambia boya uyo
 
Last edited by a moderator:
Ni wepesi eh? Muulize mchezaji wenu pampas anavyogaragazwa pamoja na kampeni za miaka 5 makanisani, support ya vyama 4,fedha mabilioni, na maelfu ya nyumbu nyuma yake.

CCM imetumia matrilioni kwa nyumbu wake kama wewe. Na bado jiji la Dar (UKAWA city) mmelipoteza. Nyie kweli nyumbu wa serengeti. Dar ndio injini ya uchumi.
 
Nimebaini hili kwenye uchaguzi huu. Ukweli ni kwamba CCM ni wepesi sana. Wanashinda kwa margin ndogo ndogo sana. Wanashinda kwa mbinu za tuhesabu tena kura!

Ukweli wakitaitiwa vizuri wanaishiwa pumzi mapema sana na kuachia. Pale walipotaitiwa waliachia mapema sana! Mdee kawatait, Mnyika kawatait, Msigwa kawatait sana, Kubenewa kawatait, na wengine wengi huko Kilwa kusini na Kilwa Kaskazini!

Next time 2020 tujifunze kuwatait kisawasawa. Ni wepesi mno hawa magamba!

Mkuu dawa ni hizi hapa

1. Katiba Mpya
2. Tume huru ya Uchaguzi.
 
Back
Top Bottom