Makama na Mwigulu hawahusiki kuchafuliwa kwa Mh Luhaga Mpina

Rege

Senior Member
Jul 9, 2022
112
140
Baada ya tukio la jana na juzi kwenye vyombo vya habari kuhusiana mgogoro wa ardhi kati ya Mpina na wananchi huko Morogoro, Waziri wa Nishati, Januari Makamba na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba wamesema hawahusiki kufadhili fedha kwa ajili ya mpango huo wa kumchafua Mpina.

Hata kama DC wa Morogoro ni Ndugu yake na Festo Sanga ambaye ni MSAIDIZI wa MWIGULU NCHEMBA lakini mh mwigulu hahusiki na kuratibu suala hilo kwani yuko bize kuandaa bajeti kuu ya serikali na mh Makamba naye yuko bize na kuandaa bajeti yake kesho bungeni.

"hizo tuhuma kwamba Mwigulu na Makamba ndio wamefadhili huo mkutano wa kumchafua mpina sio wa kweli na vyombo vipo vinaweza kuchunguza kujua ukweli wa jambo hilo, hiyo ni ziara ya kawaida ya mkuu wa wilaya ya morogoro kusikiliza kero za wananchi" amesema mmoja wa watu wa karibu wa makamba na mwigulu.

Baada ya taarifa hiyo kutoka kwenye vyombo vya habari watanzania wengi waliihusisha na mambo ya kisiasa na kuwayaja mwigulu nchemba na makamba kuwa ndio wametoa pesa nyingi kulipa waandishi wa habari na kuwalipa watu wa kuongea kwenye mkutano.
 
Acha iendelee kuonyesha ili tuone panapo vuja..😜
Kwanza wewe ni yupi kati ya hao ulio wataja...🤔
 
Hao kina Mwigulu na Makamba bora wahangaike na kero zilizopo kwenye wizara zao zinazomuongezea mtanzania mzigo wa umaskini.

Wahangaike na Mpina kwa kumsikiliza anachowaambia na kukitafutia majibu, huo utoto wanaofanya kuwatengeneza wanaserere wabebe mabango umepitwa na wakati.

Hakuna mtanzania anayejielewa kwasasa atakayehangaishwa na mambo ya ardhi ya kijiji huko Morogoro, wakati tozo na kukatika hovyo kwa umeme kunaIdi kumuumiza kila mtanzania kiuchumi.
 
Kwani Luhanga Mpina amelalamika au kuwatuhumu wali hao akina Migulu na Makamba...🤔
NENDA KWENYE AKAUNTI YA INSTA YA LEMUTUZ UTAONA KUNA HII COMMENT.....

Maandalizi ya kusoma bajeti ya wizara ya Nishati,yan kelele zozote hizi eti kumziba mdomo Mpina asiseme maovu ya bwana Upara,!!mpina go go go,hatutaki majizi kwenye wizara ya nishati lile bwana upara na maharage .Semeni ametwaa vipi hayo mashamba? Mmelipwa shi ngapi kusema hayo,hahaha tz hii si ile ya 2005 watu wanalishangilia zee la msoga bila kujua why wanashangilia nchi nzima huku likiwa na kashfa ya IPTL since 1994
 
Baada ya tukio la jana na juzi kwenye vyombo vya habari kuhusiana mgogoro wa ardhi kati ya Mpina na wananchi huko Morogoro, Waziri wa Nishati, Januari Makamba na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba wamesema hawahusiki kufadhili fedha kwa ajili ya mpango huo wa kumchafua Mpina.

Hata kama DC wa Morogoro ni Ndugu yake na Festo Sanga ambaye ni MSAIDIZI wa MWIGULU NCHEMBA lakini mh mwigulu hahusiki na kuratibu suala hilo kwani yuko bize kuandaa bajeti kuu ya serikali na mh Makamba naye yuko bize na kuandaa bajeti yake kesho bungeni.

"hizo tuhuma kwamba Mwigulu na Makamba ndio wamefadhili huo mkutano wa kumchafua mpina sio wa kweli na vyombo vipo vinaweza kuchunguza kujua ukweli wa jambo hilo, hiyo ni ziara ya kawaida ya mkuu wa wilaya ya morogoro kusikiliza kero za wananchi" amesema mmoja wa watu wa karibu wa makamba na mwigulu.

Baada ya taarifa hiyo kutoka kwenye vyombo vya habari watanzania wengi waliihusisha na mambo ya kisiasa na kuwayaja mwigulu nchemba na makamba kuwa ndio wametoa pesa nyingi kulipa waandishi wa habari na kuwalipa watu wa kuongea kwenye mkutano.

Na wewe ni nanivyao maana hii posti yako inaonyesha imetoka moyoni kwako kabisa.
Au na wewe ni mlengwa?
 
Baada ya tukio la jana na juzi kwenye vyombo vya habari kuhusiana mgogoro wa ardhi kati ya Mpina na wananchi huko Morogoro, Waziri wa Nishati, Januari Makamba na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba wamesema hawahusiki kufadhili fedha kwa ajili ya mpango huo wa kumchafua Mpina.

Hata kama DC wa Morogoro ni Ndugu yake na Festo Sanga ambaye ni MSAIDIZI wa MWIGULU NCHEMBA lakini mh mwigulu hahusiki na kuratibu suala hilo kwani yuko bize kuandaa bajeti kuu ya serikali na mh Makamba naye yuko bize na kuandaa bajeti yake kesho bungeni.

"hizo tuhuma kwamba Mwigulu na Makamba ndio wamefadhili huo mkutano wa kumchafua mpina sio wa kweli na vyombo vipo vinaweza kuchunguza kujua ukweli wa jambo hilo, hiyo ni ziara ya kawaida ya mkuu wa wilaya ya morogoro kusikiliza kero za wananchi" amesema mmoja wa watu wa karibu wa makamba na mwigulu.

Baada ya taarifa hiyo kutoka kwenye vyombo vya habari watanzania wengi waliihusisha na mambo ya kisiasa na kuwayaja mwigulu nchemba na makamba kuwa ndio wametoa pesa nyingi kulipa waandishi wa habari na kuwalipa watu wa kuongea kwenye mkutano.
na kwa nini mtu wa mwigulu atokee kusema mwigulu hausiki ikiwa mpina hajamshutumu mwigulu kuhusika?
 
Baada ya tukio la jana na juzi kwenye vyombo vya habari kuhusiana mgogoro wa ardhi kati ya Mpina na wananchi huko Morogoro, Waziri wa Nishati, Januari Makamba na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba wamesema hawahusiki kufadhili fedha kwa ajili ya mpango huo wa kumchafua Mpina.

Hata kama DC wa Morogoro ni Ndugu yake na Festo Sanga ambaye ni MSAIDIZI wa MWIGULU NCHEMBA lakini mh mwigulu hahusiki na kuratibu suala hilo kwani yuko bize kuandaa bajeti kuu ya serikali na mh Makamba naye yuko bize na kuandaa bajeti yake kesho bungeni.

"hizo tuhuma kwamba Mwigulu na Makamba ndio wamefadhili huo mkutano wa kumchafua mpina sio wa kweli na vyombo vipo vinaweza kuchunguza kujua ukweli wa jambo hilo, hiyo ni ziara ya kawaida ya mkuu wa wilaya ya morogoro kusikiliza kero za wananchi" amesema mmoja wa watu wa karibu wa makamba na mwigulu.

Baada ya taarifa hiyo kutoka kwenye vyombo vya habari watanzania wengi waliihusisha na mambo ya kisiasa na kuwayaja mwigulu nchemba na makamba kuwa ndio wametoa pesa nyingi kulipa waandishi wa habari na kuwalipa watu wa kuongea kwenye mkutano.
Ukiona hivyo jua ni jiwe gizani.
Mbona mna jitetea?
Mpina ni mwiba kwa wezi wa mali zetu
Mwigulu umezidi... Hadi darasa la saba wana kulalamikia? Wamefika mahali wana hoji hata PhD yako??? Step down Mwigulu
 
siku 14 alizotoa mkuu wa wilaya zinazidi kupungua mtatajana tu wote mliohusika kwenye nia hiyo ovu na hatutasamehe kamwe mmetuchezea vya kutosha wananchi wanyonge
 
Mwasisi wa siasa za makundi na majitaka yupo katulia zake msogani...hizi siasa zilifanya Salmin Ahmed Salim ukose teuzi 2005 zikamsumbua JPM, alipokufa tu zikapoa...kifupi vijana wameisoma script na kuielewa vizuri sanA..now wanaendelea alipoishia mentor wao..
 
Back
Top Bottom