johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,600
Ukitoa U maana inabadilika kinakuwa chama alichosema Waitara bungeni
Ukitoa U maana inabadilika kinakuwa chama alichosema Waitara bungeni
Kuwaita hao chama cha ubwabwa si sawa. Kila chama kina mambo yake kinafanya sasa kila chama kikiitwa kwa mambo yake Chadema tuiiteLeo ndio siku ambayo kwa mujibu wa ratiba zao wataingia rasmi mitaani kujitambulisha zaidi na kumwaga sera zao
Ratiba ya ufunguzi itaanzia Mwanza.. Haijajulikana kiwanja gani
Makali yake yataonekana Leo kutokana na nyomi ya mwitikio wa wana mwanza... Na amin I watakuwa wamejiandaa vema sana
Mashaka yangu ni Kama hawatarudia makosa ya mkutano wao wa kwanza Dsm ambapo
Waliahidi kuwatambulisha wanachamq wapya 3000 toka CHADEMA.. lakini ukumbi waliokuwa wamekodishiwa haubebi watu 400
Waliwalaghai viongozi wa mikoani waje Dar eti mwenyekiti mstaafu anawaita
Waliwatapeli kwenye malipo ya malazi na chakula
Ukumbi ulijaa wahuni na vijana wadogo waliokuwa hawajaandaliwa hata namna ya kuitikia salamu ya chama
Mziki wa singeli ulitawala badala ya hotuba
Tunawatakia maandalizi mema na tunawakaribisha sana MwanzaView attachment 3346000
Habari za Chadema zinatolewa na msemaji rasmi wa Chadema hivyo hizo unazosema zinapostiwa na wanachadema siyo habari rasmi za Chadema, kwani wewe ni mwana ccm lakini unaweza ukapost kitu ukajiita mwana Chadema kama uhuni uliofanywa na ITV jana kuwapost Uvccm wakiwa na bendera za Chadema na wao wakasema hao ni wanachadema. Chadema haina muda kujadili habari za Chaumma, muda wao wamewekeza kuongea na wananchi kwenye mikutano yao ya operesheni NRNE.CHAUMMA hakina tovuti wala social media accounts, habari zake zinapostiwa na wanachadema. Hazitolewi kama taarifa bali kama lawama.
Waganga njaa tuu hapo!Leo ndio siku ambayo kwa mujibu wa ratiba zao wataingia rasmi mitaani kujitambulisha zaidi na kumwaga sera zao
Ratiba ya ufunguzi itaanzia Mwanza.. Haijajulikana kiwanja gani
Makali yake yataonekana Leo kutokana na nyomi ya mwitikio wa wana mwanza... Na amin I watakuwa wamejiandaa vema sana
Mashaka yangu ni Kama hawatarudia makosa ya mkutano wao wa kwanza Dsm ambapo
Waliahidi kuwatambulisha wanachamq wapya 3000 toka CHADEMA.. lakini ukumbi waliokuwa wamekodishiwa haubebi watu 400
Waliwalaghai viongozi wa mikoani waje Dar eti mwenyekiti mstaafu anawaita
Waliwatapeli kwenye malipo ya malazi na chakula
Ukumbi ulijaa wahuni na vijana wadogo waliokuwa hawajaandaliwa hata namna ya kuitikia salamu ya chama
Mziki wa singeli ulitawala badala ya hotuba
Tunawatakia maandalizi mema na tunawakaribisha sana MwanzaView attachment 3346000
OLE WAKE MTANZANIA ATAKAYE PANGA MSTARI KUPIGA KURA.Sasa hapo ndipo shida inapoanzia kibaya shida itakupata mrusha jiwe uanze kulia lia, let every be free!, haupendi kwenda usitie mguu.
Ni tarehe 1Leo ndio siku ambayo kwa mujibu wa ratiba zao wataingia rasmi mitaani kujitambulisha zaidi na kumwaga sera zao
Ratiba ya ufunguzi itaanzia Mwanza.. Haijajulikana kiwanja gani
Makali yake yataonekana Leo kutokana na nyomi ya mwitikio wa wana mwanza... Na amin I watakuwa wamejiandaa vema sana
Mashaka yangu ni Kama hawatarudia makosa ya mkutano wao wa kwanza Dsm ambapo
Waliahidi kuwatambulisha wanachamq wapya 3000 toka CHADEMA.. lakini ukumbi waliokuwa wamekodishiwa haubebi watu 400
Waliwalaghai viongozi wa mikoani waje Dar eti mwenyekiti mstaafu anawaita
Waliwatapeli kwenye malipo ya malazi na chakula
Ukumbi ulijaa wahuni na vijana wadogo waliokuwa hawajaandaliwa hata namna ya kuitikia salamu ya chama
Mziki wa singeli ulitawala badala ya hotuba
Tunawatakia maandalizi mema na tunawakaribisha sana MwanzaView attachment 3346000
Mkwara mbuzi huo, tutajitokeza kwa mamilion kwenda kupiga kura kwa amani, aliyekudanganya CCM, huwa anasusiwa ni kiumbe gani?, atakuwa mjinga sana huyo!OLE WAKE MTANZANIA ATAKAYE PANGA MSTARI KUPIGA KURA.
NO REFORM NO ELECTION
Chama Cha Ubwabwa MaharageChama Cha Maigizo