š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£Litaambulia makapi
Eti Salimu Mwalimu ana ushawishi Tanganyika š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£.Leo ndio siku ambayo kwa mujibu wa ratiba zao wataingia rasmi mitaani kujitambulisha zaidi na kumwaga sera zao
Ratiba ya ufunguzi itaanzia Mwanza.. Haijajulikana kiwanja gani
Makali yake yataonekana Leo kutokana na nyomi ya mwitikio wa wana mwanza... Na amin I watakuwa wamejiandaa vema sana
Mashaka yangu ni Kama hawatarudia makosa ya mkutano wao wa kwanza Dsm ambapo
Waliahidi kuwatambulisha wanachamq wapya 3000 toka CHADEMA.. lakini ukumbi waliokuwa wamekodishiwa haubebi watu 400
Waliwalaghai viongozi wa mikoani waje Dar eti mwenyekiti mstaafu anawaita
Waliwatapeli kwenye malipo ya malazi na chakula
Ukumbi ulijaa wahuni na vijana wadogo waliokuwa hawajaandaliwa hata namna ya kuitikia salamu ya chama
Mziki wa singeli ulitawala badala ya hotuba
Tunawatakia maandalizi mema na tunawakaribisha sana MwanzaView attachment 3346000
Alisema kuanzia June ataizunguka Tanganyika kwa siku 16 (kwa kutumia chopa)š¤ chanzo cha mapato!?Eti Salimu Mwalimu ana ushawishi Tanganyika š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£.
Salimu Mwalimu ni mtu wa siasa Nyepesi ndio maana hajawahi hata kukaa mahabusu wiki moja .
Mtu wa TISS ndani ya vyombo vya habari aliyeingiza kwenye siasa kwa malengo maalumu ya kudhoofisha upinzani . Awamu hii anaona ni afadhali asimame na wazanzibari wenzake kutafuna raslimali za wayanganyika.
PolisiCCM hawajabaini viashiria vya fujo na kuvunjika amani wazuie mkutano?Sasa hapo ndipo shida inapoanzia kibaya shida itakupata mrusha jiwe uanze kulia lia, let every be free!, haupendi kwenda usitie mguu.
Rebels...Leo ndio siku ambayo kwa mujibu wa ratiba zao wataingia rasmi mitaani kujitambulisha zaidi na kumwaga sera zao
Ratiba ya ufunguzi itaanzia Mwanza.. Haijajulikana kiwanja gani
Makali yake yataonekana Leo kutokana na nyomi ya mwitikio wa wana mwanza... Na amin I watakuwa wamejiandaa vema sana
Mashaka yangu ni Kama hawatarudia makosa ya mkutano wao wa kwanza Dsm ambapo
Waliahidi kuwatambulisha wanachamq wapya 3000 toka CHADEMA.. lakini ukumbi waliokuwa wamekodishiwa haubebi watu 400
Waliwalaghai viongozi wa mikoani waje Dar eti mwenyekiti mstaafu anawaita
Waliwatapeli kwenye malipo ya malazi na chakula
Ukumbi ulijaa wahuni na vijana wadogo waliokuwa hawajaandaliwa hata namna ya kuitikia salamu ya chama
Mziki wa singeli ulitawala badala ya hotuba
Tunawatakia maandalizi mema na tunawakaribisha sana MwanzaView attachment 3346000
Alisema kuanzia June ataizunguka Tanganyika kwa siku 16 (kwa kutumia chopa)š¤ chanzo cha mapato!?View attachment 3346026
Catherine Ruge amejishushia sana heshima kuungana na hawa wahuni
Hivi Wana muda na chadema kwani?!!!! Mbona mi naona chadema ndo Wana muda na CHAUMA. Sijawahi wasikia wakipoteza muda wao kuizungumzia chadema Bali mambo yao; ila naona chadema ndo kitwa kucha kuhangaika na CHAUMA........ threads za kutosha za mawakala wa chadema chakavu humu jukwaani ni ushahidi wa niyasemayo.Unaweza kupoteza MB kuwasikiliza watakacho kuja kujieleza hapo ni kulalamikia chadema
Mchawi hedikopta, itqkusanya Wadanganyika wengi.
šWaliwalaghai viongozi wa mikoani waje Dar eti mwenyekiti mstaafu anawaita
CHAUMMA hakina tovuti wala social media accounts, habari zake zinapostiwa na wanachadema. Hazitolewi kama taarifa bali kama lawama.Umeona wapi Chadema wanalia wewe? Chadema iko bize kueneza elimu ya No Reforms No Election na leo tunaanza Kanda ya Kaskazini hatuna muda mchafu kuongelea habari za wengine sisi tunaongea na wananchi na uzuri wananchi wanatuelewa na kutuunga mkono kwa maelfu.
Naona unatumia uzoefuUmevuta ugoro nini mbona umeandika kama umelewa ugoro