Makala ya tulipotoka mbali

Makala ya tulipotoka mbali

idiomer

Member
Joined
Aug 15, 2012
Posts
95
Reaction score
56
Tumetoka mbali sana. Nakumbuka hapo kale tulikuwa tunasoma na vibatari na taa za chemli. Yaani unaweza kugombezwa umesoma ukamaliza mafuta ya taa. Nakumbuka tulikuwa tukipasi nguo na mkaa wa magunzi ya mahindi.

Nakumbuka pipi tofe. Hakika wakati mgumu hutengeza watu imara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom