Makala ya TanzaniaDaima 'Udini wa kijinga...' haina mashiko!

Ndio maana nasema ni udini wa kijinga kwa sababu watu wakipatiwa elimu inayostahili na kujulishwa kile ambacho walikuwa hawakijui juu yao wao wenyewe au vingine wataweza kuona ujinga wao na wataachana nao. Ninaposema ni udini wa kijinga ninamaanisha hilo kwa maana hauna akili. Mtu mwingine kaja kuniambia ati udini wa leo umesababishwa na Nyerere; mwingine anasema udini ni wa Wakristu (kanitolea orodha ndefu ya mambo ambayo wakristu wamefanya) kwa vile rais ni "muislamu"; na wengine wananidokeza jinsi mambo ambayo Rais "muislamu" anayafanya na ambayo wakristu wanaona ni ya kuendeleza "uislamu".

Wote hawa wanaona wako sahihi kwa sababu "udini" kwao ni wa yule aliye tofauti na dini yao lakini hakuna ambaye ameijaribu kuangalia udini wake yeye mwenyewe au wa watu wa dini yake na badala yake anajaribu kutafututia udhuru au kuuhalalisha kwanini watu wake wana "udini".

Yaani, NI UDINI WA KIJINGA!
 
NI UDINI WA KIJINGA!
Kwani kuna udini wa kiakili?????
From my point of view any people who concetrate on their differences ni Ujinga

Dini should be anout love, peace and harmony apart from that, the preachers should take a good look at themselves. That why am saying these so called differences can be sorted by the religious leaders themselves, instead of pointing differences they should preach love.

Politicians can do nothing to help and they should stay away
 
msisitizo mweusi wangu

...

5. Binafsi naamini Tanzania hakuna udini ila kunajengeka imani ya uadui wa kidini (a.k.a udini - MM) (religious conflict) kati ya Uislamu na Ukristo... target likiwa hasa dhidi ya Kanisa Katoliki (a.k.a udin). Nasema hili maana mihadhara mingi ambayo nimepata bahati kuhudhuria maudhui yake ni hayo. Pia kuna mabishano ya kidini (a.k.a udini) Kariakoo karibu kila siku kati ya vijana Wailsamu na Wakristo - Waislamu wakiwatuhumu Wakristo kuwa walimpigia kura Dr Slaa (a.k.a udini) na Wakristo, kwamba wamekuwa wakipendelewa kiajira na kielimu na huduma nyingine za jamii. Mawazo ya M.M. Mwanakijiji yanashabihiana na hayo.

umejaribu kutafuta jina jingine la kitu ambacho unaamini kipo.. "kunajengeka imani ya uadui wa kidini" ni euphemism ya "udini". Ndio maana nauita ni wa kijinga maana hata kutaka kusema upo hatutaki kusema upo wakati karibu sote tunajua upo!
 
Mh! Naomba jambo hili lifanyiwe utafiti ili tujue kutokana na analysis za kisayansi. Wapenda amani wote wanataka udini usiwepo. Lakini katika research tunatafuta hard facts na relations zilizopo ili kutengenza theory. (Inayoweza kuwa tested na yeyote ikawa valid) Hivyo tusiweke bias za matakwa yetu. Ufanywe utafiti utakaokuwa objective ndipo tuje na conclusion. Kwa hiyo sikubaliani na yeyote hadi tupate matokeo ya utafiti. (Tahadhali katika hili naomba redet na Synovet wasihusishwe)
 
Ndio maana nasema ni udini wa kijinga kwa sababu watu wakipatiwa elimu inayostahili na kujulishwa kile ambacho walikuwa hawakijui juu yao wao wenyewe au vingine wataweza kuona ujinga wao na wataachana nao. Ninaposema ni udini wa kijinga ninamaanisha hilo kwa maana hauna akili. Mtu mwingine kaja kuniambia ati udini wa leo umesababishwa na Nyerere; mwingine anasema udini ni wa Wakristu (kanitolea orodha ndefu ya mambo ambayo wakristu wamefanya) kwa vile rais ni "muislamu"; na wengine wananidokeza jinsi mambo ambayo Rais "muislamu" anayafanya na ambayo wakristu wanaona ni ya kuendeleza "uislamu".

Wote hawa wanaona wako sahihi kwa sababu "udini" kwao ni wa yule aliye tofauti na dini yao lakini hakuna ambaye ameijaribu kuangalia udini wake yeye mwenyewe au wa watu wa dini yake na badala yake anajaribu kutafututia udhuru au kuuhalalisha kwanini watu wake wana "udini".

Yaani, NI UDINI WA KIJINGA!
MMK,
Nimefuatilia point zako, lakini naona tukubaliane kidogo na huyu Magobe T, don't call it UDINI, call it UJINGA; maana sione hata mahali pamoja ambapo udini unajitokeza (in our daily lives among friends and relatives as we are mixed up), ni pale tu ambapo one group of people try to corrupt the ignorants. Kwa hiyo udini unaletwa na viongozi ambao wamefilisika na upo - assimilated na wajinga.

Solution: We need a clean Constitution (KATIBA); itakayomfanya mtawala au mwananchi yeyote aelimike kwa sheria za nchi yake na haki zake, pia mdini na asiye mdini akiwa Rais au kiongozi basi afuate katiba kutawala NCHI.

Remember Ernesto Sheka and Rashid Shamte? Very educated guys, who are very known played this UDINI card, ili kuwapa sumu wajinga nao wengi wakaimeza.
 
MMK,
Nimefuatilia point zako, lakini naona tukubaliane kidogo na huyu Magobe T, don't call it UDINI, call it UJINGA; maana sione hata mahali pamoja ambapo udini unajitokeza (in our daily lives among friends and relatives as we are mixed up), ni pale tu ambapo one group of people try to corrupt the ignorants. Kwa hiyo udini unaletwa na viongozi ambao wamefilisika na upo - assimilated na wajinga.

Solution: We need a clean Constitution (KATIBA); itakayomfanya mtawala au mwananchi yeyote aelimike kwa sheria za nchi yake na haki zake, pia mdini na asiye mdini akiwa Rais au kiongozi basi afuate katiba kutawala NCHI.

Remember Ernesto Sheka and Rashid Shamte? Very educated guys, who are very known played this UDINI card, ili kuwapa sumu wajinga nao wengi wakaimeza.

of course, lakini mimi vile vile nilisema Hii article sijui ni ile ya kwanza au yapili kwani kwenye article yangu nilisema exactly ulichokisema kuwa udini uliopo Tanzania ni wa viongozi wetu, ni wawasomi wetu.. siyo wa watu wa kawaida. Ni wao ndio wenye kupandikiza mawazo haya na ni wao ndio wenye kuupalilia.
 
Back
Top Bottom