Makaburini Tanzania vs makaburini nchi za wezetu

nasrimgambo

JF-Expert Member
Jan 10, 2017
1,858
2,348
Sijawahi kufika ulaya, ila naionaga ulaya kwenye tivi kila siku, hivyo nimewahi kuona makaburi yao kwenye tv nikacompare na yetu

Sasa, hivi kwa nini makaburi yetu huku afrika hayako katika mpangilio, mamiti majani yanaota tu hakuna maua ya kupendeza kunatisha pengine watu wanaamini kuna mizimu inakaa, hakika huwezi kubaki peke yako

Halafu makaburi ya we zetu, yamepangiliwa kuna vinyasi vile vya bustani I kuna maua mazuri kuna pendeza unaweza kupunga upepo makaburini, unaweza hata ukalala huko ukiwa peke yako bila kuogopa kutokewa,

Kwani tumekwama wapi
 
Ndugu; kuna sehemu huwezi lala usingizi hata kidogo, nazo ni:

1. Mahakamani

2. Altare/ madhabahuni na,

3. Makaburini. Huwezi kulala usingizi hata pawe pasafi
 
Kwa wale wanotaka picha, hapa ni baadhi ya maeneo ya Makaburi Nchi za wengineView attachment 2125101View attachment 2125102
images%20(12).jpg
View attachment 2125099View attachment 2125100View attachment 2125103View attachment 2125104View attachment 2125105

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
Makaburi ywnye miti mengi ni yale ya umma,wasio na uwezo wakishazika kawaida bila mbwembwe na kusakafia wala vigae huwa wanaweka tuta na kuchomeka miti kama ishara ya ukingo wa kaburi na alama. Hivyo ile miti huwa inaota zamani mingi ilikua mihogo saiv wanachomeka miti flan hivi maarufu makaburini

Mazishi ya mbwembwe tumewaiga wazungu sema sie tumechelewa ndio maana hatuna mpangilio maalumu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom